

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hizo ndio nguo watakazozivaa siku hiyo hao model? Au hao model huvaa hivyo na kutembea huko mjini na hizo nguo ninavyoona hapo?
ReplyDeleteMichuzi naomba unisaidie natafuta mchumba,kama huyo dada Fatma ameolewa au la.nimelipenda hilo umbo la kiingereza.email yangu yangu fridokazadi@gmail.com.Tafadhali ustadhi muhidin usinibanie niko serious.
ReplyDeleteHI NI SAFI AFADHALI WASWAHILI WENZETU MNAJISHUHULISHA...SIO WAHINDI TU..TUTAWEKEZA..HONGERA
ReplyDeletehiyo nguo ya kimasai naweza kuagiza wapi? Lakini mimi nataka mtu anipe email nimtumie design michoro ya design yangu ninayotaka. Nitanunua nyingi tu
ReplyDeleteasante wajasirimali wa bongo
nataka nikusahihishe kidogo brother michuzi huyo dada wa kati haitwi vicky ila jina lake ni ZAMARADI MKETEMA ni mfatiliaji mzuri sana wa kipindi chake cha kona ya mabinti and i love her very much. big up sana kwako brother
ReplyDelete