mdau aliyetembelea mji mkuu wa lesotho, maseru, katuletea hizi tuone wenzetu walivyo wasafi...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. KWELI WASAFI SANA DAR ES SALAAAM SASA MJI NAISHI LAKINI MCHAFU HUU WATU WACHAFU YAANI KAZI KWELIKWELI.

    ReplyDelete
  2. Mbona kapiga picha uzungunitu?? atuletee picha ya manzese ya lesotho tuone kama wasafi kweli, kwanza hapo maseru ni kamji kadogo sana ukifika pale boarder yao na SA utajua tu nipo sehemu tofauti walivyochoka. so asitudanganye. sie pia ukipiga pale movenpick sijui mbona wasafi saana.

    wacha kutupagaisha bwana, sifia kwako.

    ReplyDelete
  3. Nadhani tujifunze kutoka kwa wenzetu. Nilitembelea Windhoek Namibia, nilifikiri niko hospitali. Mji ni msafi mpaka unahisi harufu ya dawa.
    Sheria za uchafu ni kali kuliko za kusafisha. Nadhani Tanzania inabidi turudi huko.

    Katika miji ya Tanzania nafagilia sana Songea na Moshi manispaa kwa kujitahidi kwa usafi

    ReplyDelete
  4. We mdau wa hapo juu umetembea miji mingapi? naona hujafika iringa maana ungefika usingesema moshi mji msafi. Moshi chamtoto kwa iringa.
    Hakuna mji msafi tanzania kama Iringa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...