Habari za saa hizi kaka Michuzi,
Ningependa kutumia nafasi hii kuwatangazia wasanii wote waliopo Tanzania au UK, kuwasiliana na producers wapya wenye vipaji wanaoitwa Cipha Headz ambao wanafanya shughuli zao za kimuziki ndani ya UK.
Wanataka kuwasaidia wanamuziki chipukizi au wakongwe kutoka Tanzania na East Africa kwa jumla. Ukitaka kujua zaidi nenda kwenye links zifuatazo;
au
unaweza kusikiliza nyimbo tofauti ambazo wametengeneza wabongo wenzetu.
Ahsante
Mdau Ukerewe
waw mnatisha aisee pia mnamvuto.LOL
ReplyDeletee bwana safi sana na nyimbo zimetulia kinoma, vipaji mnavyo sasa tutapata vipi hizo beats?
ReplyDeleteWhat do you mean by KUWASAIDIA?Kuwapromoti,kuwatengenezea tracks bure au kwa malipo nafuu au ni aje?
ReplyDeletemimi ni mmiliki wa label ciphaheadz music,naweka wazi nataka kuwasaidia vijana chipukizi kwa kuwatengenezea beat bure na kuwapa ushauri jinsi ya kujiendeleza kwenye hii biashara,kama unaswali lolote nitumie kwenye hii email ciphaheadzmusic@hotmail.co.uk,wote mnakaribishwa,kuuliza si ujinga
ReplyDeleteEbnwana Ndio Hizo Beat Si Mchezo sasa bongo huku sie tunazihitaji toshachoka kuibiwa na P funk.
ReplyDelete