KUNRADHI WADAU MNAOTUMIA EMAIL YA GMAIL MNAOMBWA KUJIHADHARI NA UJUMBE HUU AMBAO UMEDHIHIRIKA NI KANYABOYA. HIVYO UKIROGWA KUUFUATA UMELIWA! KWA HABARI ZAIDI KUTOKA GMAIL TEAM BOFYA HAPA

Warning: This message may not be from whom it claims to be. Beware of following any links in it or of providing the sender with any personal information.

Dear Account User,
This Email is from Gmail Team and we are sending it to every Gmail User Accounts Owner for safety. we are having congestions due to the anonymous registration of yahoo accounts so we are shutting down some Gmail accounts and your account was among those to be deleted.We are sending you this email to so that you can verify and let us know if you still want to use this account.If you are still interested please confirm your account by filling the space below.
Your User name,password,date of bith and your country information would be needed to verify your account.
Due to the congestion in all Gmail users and removal of all unused Gmail Accounts, Gmail would be shutting down all unused Accounts, You will have to confirm your E-mail by filling out your Login Information below after clicking the reply button, or your account will be suspended within 24 hours for security reasons. * Username: .............................. * Password: ................................ * Date of Birth: ............................ * Country Or Territory: ................
After following the instructions in the sheet, your account will not be interrupted and will continue as normal.
Thanks for your attention to this request. We apologize for any inconveniences.
Warning!!! Account owner that refuses to update his/her account after two weeks of receiving this warning will lose his or her account permanently.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mmh, mbona mimi sijaipata hii email....mjomba Issa, naomba kabla hujapost comments kama hizi, inabidi uzifanyie kazi kwanza.

    ReplyDelete
  2. We hapo juu 3:22 PM inaonekana hukuelewa hiyo posting. Michu anafahamu sana kazi yake! Hiyo message is warning you about "phishing" ! Inaonekana huku bother to go to the link uliyopewa. Huyu mdao ana warn watu kutokujibu hiyo email in case you receive it. Ni watu ambao wana tafuta personal information zako. It's a warning!! Hakusema ni watu wa gmail wanatuma hiyo message! Msipoelewa - kuuliza si ujinga! Don't jump into conclusion na kutukana watu eti wachunguze kabla ya kupost!!

    ReplyDelete
  3. anyone dumb enough to fall for such a blatantly obvious hoax deserves to be duped

    ReplyDelete
  4. Ukipata e-mail kama hii futa DELETE! Kweli ni phish scam!

    ReplyDelete
  5. Duh...jamani au ndio matapeli ya kinaijeria ziko kazini???jitahadharini na scamu mpya!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...