Home
Unlabelled
newala
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Du NEWALA kumbe kukavu hivi,si ajabu hao wanaopita aliyechomoa Shati ni Mkuu wa wilaya na huyo mwingine ni Mkurugenzi wa wilaya...
ReplyDeleteKaka Michu, yaani huko ndio home mzee. Nilikuwa huko X mas tu. Ila kazi tunayo wadau na sasa Mh. Mkuchika ambaye ni mbuge wa Newala amekuwa Waziri inabidi atukusanye wadau wa Newala tulisukume gurudumu la maendeleo na wavimba macho na waosha midomo wenye viriba vya roho waache hizo zaoooo!!
ReplyDeleteHivi hiyo newala ya marekani ni ipi?naomba ufafanuzi.
ReplyDeleteInno upo?
ReplyDeletemdau, anonymous wa kwanza hapo juu naona haijuwi tz vizuri. mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa wilaya wa nchi hii hushushiwa milangoni kutoka kwenye shangingi a.k.a VX etc. Kinachouma ni pale mali zote pamoja na majengo katika ofisi husika havifikii thamani ya shangingi hata la mkubwa mmoja wa wilaya
ReplyDeleteDuuh kumbe newala kuna udongo mwekundu hivi kama kwao na mh.zitto kabwe..aiseee.
ReplyDelete