Home
Unlabelled
niko na inafrika band jijini bonn
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh aminia braza Michu!kumbe hawa jamaa wazee wa Indege wamejikita huko Bonn!?Naona uko na Bizzman!
ReplyDeleteThen,hongereni sana watani zetu wa jadi Bwawa la Maini kwa kuwatoa Internazional Milan na kuungana na vigogo wengine wa England ktk robo fainali i wish tukutane na nyie watani zetu wa jadi Man.U vs bwawa la maini.
Kaka karibu London haa kumbe una schengen duh upiti kaka sorry kama ukuacha vidole bongo uingii IoI kwanza tuna stoms soo.
ReplyDeleteNaona T-shirt yetu ya Blogu ya jamii imerudi..
ReplyDeleteMichuzi jina lako limo kwenye wafisadi(DOT)watafuatilia Account yako. Unatutesa sana Nina miaka 11 nabeba Mabox nauli ya kutembea kwetu inanishinda
ReplyDeleteMichuzi sikuwezi.
ReplyDeleteYaani hilo fulana lako la kuchanjia la ngazingazi hukukubali mpaka umetinga nalo huko Bonn!
Kweli si bure. Hili Fulana limezindikwa kule NGENDE
Duh! Bro Michu, the fulanaz mpaka Bonn? Basi pata mbili tatu za huko utuletee wadau....kumbe ndio maana ulikuwa hupost kwa ile kasi yako, kumbe mzee uko mamtoni, uwe unaaga michu hatutakuloga...
ReplyDeleteManka story could be fiction or true it does not matter.
ReplyDeleteMaoni yangu ni kwamba ipo haja ya kuweka blog ya dating kwa watanzania tu.
Usiri wa watanzania una ua wengi kwa mengi believe me!.
It is high time vijana wakitanzania wachangamke.
...Naona uko na Roy Fiquerido hapo.
ReplyDeleteNawakumbuka yeye na kaka yake Endrico na dada yao Vero, wakati tukicheza cha ndimu pale mitaa ya Keko NHC miaka ya 1971/73 na akina Chris na Ivor De Mello, Jacob, Jully, Nkrumah Mkandawire na Mdogo wake Moses aliyekuja kudakia Simba miaka ya baadaye.
Mm..Michuzi hiyo t-shirt...everywhere and every other day!lol
ReplyDeleteAm calling upon the public for an emergency campaign to help Michuzi get another t-shirt...i think its about time the blue tshirt gets a replacement.
ReplyDeleteOyaa bizman mara ya mwisho wajerumani walikusamehe, acha kututia aibu kwa kuiba CD madukana ushamba wa kigoma huo shenx
ReplyDeleteMbona RAS POMPI simuoni hapo?
ReplyDeleteAu wamemuacha hakwenda huko Ujerumani?
Michuzi naomba uniletee chupi ya ulaya jamani..nitafurahi sana
ReplyDeleteNakubaliana na annon wa wednesday March 12,2008.11.09.
ReplyDeleteNi kweli kuna haja ya kuwa na website ya dating kwa watanzania tu,hii imejionnyesha wazi kuwa dada Manka amegusa haswaa pale ambapo ni kero la wengi,si umeona maoni yamefikia 200.
Mdau US.