hii kushabikia penati zinavyopigwa tulipocheza tsn na mwananchi ishakuwa taabu. asante mdau rwebangira kwa picha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Kumbe ndomana mlishinda!!! Sasa tutakuhitaji tena pindi taifa stars itakavyocheza penati siku za usoni.

    ReplyDelete
  2. dah! nakumbuka huo ni uchawi wa kuzuia goli lisiingie! unabana sawa sawa mpira unatoka nje!

    ReplyDelete
  3. Hapo hata wabane vipi kama kitu kinatinga wavuni kinatinga tu,

    tajiri

    ReplyDelete
  4. Nilitaka kukuuliza Michuzi kuhusu hii picha mbona naiona blogs zingine ww huiweki? Asikuambie mtu.... Inaonekana kama kushinda mlishinda kwa mengi.... Sikujua kama hii style ya kubana bado ipo.... hahahahaaaaaaaa...

    ReplyDelete
  5. Braza Michu tupe matokeo basi ya mtanange huo kati ya tsn na mwananchi ili tujue kama kubana nanihii kunasaidia goli lisiingie?
    Duh umenikumbusha mbali enzi hizo tukicheza chandimu,wakati wa penati usibobana nanihii hadi wachezaji wenzako wanakuona msaliti kama mpira utatinga wavuni!

    ReplyDelete
  6. ...... M I C H U Z I .....! ! ! !

    ReplyDelete
  7. kak michu hicho kifua chako kimejaa garden loving you kibao. kaaaaaaaazzzzzz kwelikweli!

    ReplyDelete
  8. michu, kwa mtaji huu,'dimbwi la maini'(bwawa mtakuwa nyinyi, bwana?) wanakuhitaji sana mwaka huu... yawabidi wakutumie tiketi ukawafanyie vimbwanga hapo dimbwini la maini... SWALI LA KIZUSHI-ZUSHI: Huyo jamaa mwenye jezi ya kibuluu 'hanazo' ama anashabikia timu pinzani na yenu?...

    ReplyDelete
  9. Sasa Michuuu kwanini ni mbinu hii usiipeleke kwa Rafael Benitez ili kuokoa jahazi la bwawa la maini. Nadhani hata taifa stars watakuhitaji kwenye mechi zao maana Mzee unabinya kama vile .....

    ReplyDelete
  10. Kaka michuzi samahani mbona jinsi ulivyojishika hapo kwa style ya kubana inaonesha umezikusanya saaaana au ndio unakuwa mtu mzina na umeshaanza ile inaitwa NGIRI MAJI?kama ni hivyo usijali siku hizi matibabu ni rahisi sana.Wengine wanaita kitenisi.

    ReplyDelete
  11. kitabibu, ukiminya peke wakati wa msongo wa mawazo (mfano wakati penalti inapopgwa, ama unapokuwa unafanya mtihani, ama ukiwa umepata mshtuko)ambapo Insulin nyingi huzalishwa mwilini sababu ya stress (msongo) unaweza kuhatarisha mfumo wa uzazi, manake Insulin huzidisha mapigo ya moyo, mishipa ya damu pia huzidi kazi yake mpaka kwa maeneo, sasa unazuia damu kwa maeneo, wadau mtindo huu tuuache. Dawa katika suala kama hilo ni kuvuta pumzi kwa wingi na kuachia taratibu.

    ReplyDelete
  12. misupu eeh mi ntakuzawadia jezi mpya ya manchester united...unataka ya christiano ama misupu?itakuwa afadhali kuliko kuvaa nguo za kazi uwanjani...au vipi?

    ReplyDelete
  13. Aisee twashukuru sana kwa huo ushauri wako wa kitabibu,lakini hii inausiana vipi na kuzuia,kuepusha KITU kisitokee??Je inakuwaje kama pande zote mbili Waliminya...??

    Duhh!! Bongo bwana everything is connected to JuJu!! Imani ya ajabu sana hii.

    ReplyDelete
  14. Bro michu!
    Ile comment yako ya kule kwenye ze nanihiiii!na jinsi ulivyojishika hapo,mi mbavu sinaaa!
    we jenga taswila akija akute haipo!

    ReplyDelete
  15. TUENDELEZE USHIRIKIANO HUO HADI KWENYE TIMU YA TAIFA ISIJE IKAFIKA SIKU TUNAPIGIANA PENATI MKASHINDWA KUTOA USHIRIKAIANO MKAONEKANA WASALITI.

    ReplyDelete
  16. Kaaaaaaazi kwelikweli!

    ReplyDelete
  17. UCHAWI WA KUMINYA (ASHUA) ILI MPIGAJI PENATI AKOSE JE UNAFANIKISHA KUZUIA GOLI KAMA ANAVYOFANYA HUYO MWENYE SURUALI NYEKUNDU.

    ReplyDelete
  18. Kubana nanihiii na kale kafulana zingesaidia...Michuzi yeye kashika nanihii kabisa badala ya nanihii na kale kafulana hajakavaa..hiyo penalt lazima ilikuwa goli!!Tsn mchawi wenu kumbe mnaye humohumo newsroom

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...