Home
Unlabelled
U-B-I-N-A-D-A-M-U
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bro' michu hiyo haijatulia kabisa na huyo aliyekuletea mwambie atuombe samahani. Ana maana gani kuleta jisia kwamba bado siye hatujamaliza evolution. Hicho kikaragosi cha mwisho kinaonyesha ni kizungu.Acheni hizo washkaji
ReplyDeletemdau
Haya mambo ya evolution of man sio wote tunaamini mi nilizaliwa binadam hivihivi na vizazi vyangu vyote sijawahi kuambiwa na wazee kwamba nilikuwa na babu au bibi nyani...sijapitia hayo hebu pelekeni hukooooooooo, huyo jamaa lazima ni crew wa makumbusho tu..mwambie afungue bongo lake hii karne nyingine hatupo kale tena...
ReplyDeleteNa mbona bado kuna manyani, sokwe kima,mbega, ngedere nk.........hii nayo imekaaje, msifuate tu falsafa za wazungu mnafanywa wajinga nyie nia yao mjione nyie weusi sio binadamu, hebu angali hapo wa kwanza shoto ni mweusi anefuata afadhali kidogo then mpaka wa mwisho kulia ni white mi siikubali hii noooooooo.
ReplyDeleteEvolution ina ukweli na uzushi kibao.
ReplyDeleteMyenyezi Mungu kamsifu binaadamu kwa umbo alilomuumba sasa vipi mutadai tulikuwa masokwe!!
Huyo wa kwanza kulia ni mzungu,akifuatiwa na mhindi na wa mwisho yaani kushota ndio mnyaturu mwenzangu!!!
ReplyDeleteEHE! Sokwe kageuka MZUNGU!
ReplyDeletemaana yake wote tunaelekea kuwa wazungu... DISASTER!!! maana ni huko nd'o unakuta "serial killers", "pedophiles", "road rage" na mengine mengi tu. lakini huku kwetu ni ma- "rapist", "abusers" na ma-"wife beaters" tu! kwa hiyo maendeleo yako afrika na tusidanganyike!
ReplyDeletealama za nyakati zinaonyesha tunarudi mwanzo hasa kwa ufisadi huu ulivyoota mizizi.
ReplyDeletehivi wadau nani alipiga hizo picha au ni imagination tu.Hiyo camera ni kodak,sony au yashika.Naamini kamera hazikuwa zimegundulika.Na kama hiyo ndo evolution whats the next step tutakuwa tunapaa labda kama ndege.
ReplyDeleteMichu nimefurahi kuona michango yangu umeiweka katika blogu.Leo huyu jamaa amenikumbusha mbali sana na hii picha inayoonesha evolusheni.Kanirudisha shule ya msingi(Histiria),
ReplyDeleteSasa kwa wadau,naomba jibu;
KWA NINI MASOKWE WA SASA WASIENDELEE KUGEUKA NA KUIJAZA NCHI?
Mchangiaji,
Mbeya-Ileje
Ina maana binadamu wa kwanza alikuwa mwafrica?akafuata mzungu?uzushi huo..BINADAMU WA KWANZA ALIKUWA ADAMU NA HAWA...HUO NI UONGO NA UZUSHI..SASA NANI ALIWA ZAA HAO MANYANI?
ReplyDeleteBro michu
ReplyDeleteu\huu ndio utawala bora!wa kwanza JK,DR ShE,Uncle Mize,Ramadhan Wasso wa watani wa jadi na mzee wa vekeshen Michu
Muwe wakubwa na werevu jamani!
ReplyDeleteHivi nani aliwaamba kuwa watu weusi wako Afrika tu? Ona sasa mmeanza kujifananisha na huyo Nyani, mimi simo. Fananeni wenyewe na huyo Nyani. Mh! Kizazi cha Nyoka.
Haya, na huyo wa mbele mzungu. Wazungu tu ndio weupe? Hakuna taifa lingine lenye watu weupe? Kazi mnayo.
Jamani eeh, hii ni "Darwin's THEORY". It is a "theory". It is NOT a "FACT".
ReplyDeleteUkiumizwa kichwa na vitu kama hivi basi umetaka mwenyewe.
Sasa Michu kwa alio weusi una maanisha witukuu vyetu vitapauka vije viwe viko waiti kama watasha?
ReplyDeletewewe ukubali usikubali bibi na babu zetu walianzia hali hiyo.kama mnaamini kuwa mwanadamu wa kwanza alikuwa ADAMU NA HAWA kutokana na biblia mbona hii unaona vigumu kuubali?hujui hata hao wazungu wako walikuja na utamaduni wao na ukabebewa akili na kuwakubali mpaka leo?kubalini ukweli
ReplyDelete