Michuzi,
Wape hii waoshe vinywa vizuri.
FERNANDO TORRES is one of the best strikers in the world nyinyi MA UNITED wapata leo lazima mfahamu.

Torres, 23, has become the new King of Anfield after scoring back-to-back home hat-tricks against Middlesbrough and West Ham.


The Spaniard, signed for £21.5million from Atletico Madrid last summer, now has 24 goals in all competitions this season.


“He’s unbelievable. I’ve never seen anybody who is that quick and that good with the ball.


SiO RONALDO WENU KAZI KUJIANGUSHA ILI APATE PENALTI ZA BURE.


Mdau Oman

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. william (man utdfor life)
    uk

    jamani torres ni striker mzuri sana sana hata mimi na mezea mate,unakosea unapo msema ronaldo wetu ni kweli alikuwa ana dive lakini he has changed now i think he is leading by scoring 2 goals in many games which is good for us. torres ni mchezaji mzuri bila wasi wasi lakini liverpool wanashinda na everton mnatupa aibu na ngojea tuwadunde march 23 mkija old trafford miaka 4 hamja shinda kwenye league

    ok
    william

    ReplyDelete
  2. Ama kweli mumekosa nyimbo ya kuimba na nyie Liver pool hivi hata haya hamna na huyo Torees wenu alikuwa wapi mpaka munapigwa mabao na vibonde wa wanaocheza ligi dararaja la ruvu Bansley na kuishiishia kugombea nafasi ya nne na safari hii mutashika adabu manake hata nafasi ya kucheza championi ligi mwaka kesho hamtapata, mutafukuza makocha mutafute mchawi.

    ReplyDelete
  3. Tafadhalini nyie bwawa la mavi man utd sio size yenu ya kulumbana nao jaribuni kuongea na Evaton munaogombea nao nafasi ya nne sio sisi

    ReplyDelete
  4. Mancheater kapigwa dole na pompy. Pale kuna vilema tu na mmoja anachechemea ambaye ndo tegemeo lao. Eti ronaldo leo kakutana na wala fofo wa west Africa kakalia kujirusha ovyo. Man U mmeshachoka ki mbwa mbwa


    Wenger

    ReplyDelete
  5. haya bwana..mashabiki wa liver ndo zao..torres, cjui gerrald!! mpo wapi?? miaka 18 hamjashinda ligi..leo mnagombea nafasi ya nne na akina everton, man city na blackburn..mtakalia hayo hayo... watu wanasonga mbele.. kamal

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...