

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mungu amlaze pema pepon , jamaa alikuwa na kipaji kikubwa cha utunzi na uimbaji, basi tu kuzaliwa afrika vingnevyo huyu jamaa angiacha familia yake na raha tele za kimaisha
ReplyDeletetangu atutoke hata baba ya muziki haijatoa tena vibao vya maana kuonyesha kuwa yeye ndiye alikuwa mtaalamu wa utunzi katka bendi hiyo
tunakukumbuka kwa kazi zako mahiri