Home
Unlabelled
mbunge mpya ala kiapo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kanisaidia Airport huyu dada jamani!! Hongera sana.
ReplyDelete..mbunge wa kuteuliwa...! mimi naomba msaada, hivi huo wingi wa wabunge hautoshi kufanya maamuzi sahihi? kwa ufupi mi' nachanganyikana akilini..
ReplyDeleteWAJAMENI, MBONI SHYROZE BHANJI NAYE ALIGOMBEA VITI MAALUM VYA WABUNGE NA NILIKUWA NA UHAKIKA ATAPATA. SASA MICHUZI IMEKUWAJE?
ReplyDeleteDa Kwegya hongera sana!dah!umestaili muda kuwa bungeni ni dada wa pekee!Inshaallah mungu atakupa zaidi-amini!
ReplyDeleteHIVI HUYU DADA NI MDHUNGU!!!!!, MWARABU!!!! AU MACHO YANGU!!! MAANA JINA LAKE GUMU MNO. ANGEKUWA WA CHAMA PINZANI WANGESEMA EBU TUMCHUNGULIE UZAWA WAKE, ITS ALL GOOD BONGO TAMBARARE!!!!! MWE!!!!
ReplyDeleteHongera mama. Ila huyu president wetu safi sana! Mazeruzeru wanauwawa katafuta mwakilishi wao akae bungeni, Wakongwe nao wanasumbuliwa kawawekea Kingunge Ngomaremwiru. Sasa mererani wanakufa na mafuriko muda si mrefu atateua mtu wa kuwatetea bungeni. Safi mkuu wa nchi we safiri tu, mbona kila mwenye matatizo unamwekea mwakilishi bungeni ubaki bongo kufanya nini, we apsua anga tu mkuu tunakushemu sana kaka.
ReplyDeleteTarehe April 08, 2008 8:17 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteUmenichekesha sana.... It seems hata humu bloguni tukilalamika sana atamteua mmoja wetu au Bro Mi-soup kutuwakilisha bungeni.....
LMAO.......
April 08,2008 8.17pm umedata!!
ReplyDeletenimecheka bila kujizuia, ur so Fani!!
hongereni sana wabunge wapya ukishakula kiapo iliyobaki ni kuchapa kazi. haya waliosusia kikao wanaenda wapi wajameni. tuchague mbunge wa blog bwana mirojo unaonaje hilo?
ReplyDeletesweet
Arusha
Duu we Anony wa Tarehe April 08, 2008 8:17 PM...fala sana, yaani umenifanya nicheke mpaka nitambae....kumbe ndiyo maana hata wenye matatizo ya akili wanawakilishwa na Mzee Makamba au siyo?
ReplyDeleteThat was a real good laugh though...
Huyu ni mtasha, ila alizaliwa Bongo kwa hiyo msianze hapa mambo ya ooh uzawa, tuanglie uraia ...ni mbongo
ReplyDeleteDada Shaymana hongera sana, nimefurahi sana nitikutafuta kwasimu, tuongee zaidi.
ReplyDelete