TUNAKUSHUKURU SANA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA KWENYE BLOG YETU YA JAMII NA TUNAYAONA MAVITU YAKO KILA DAKIKA.
MIE NAMTAFUTA RAFIKI YANGU WA DAMU AMBAE TUMEPOTEZANA FOR TEN YEARS NOW KWA MARA YA MWISHO NILIONANA NAE DAR 1998, ANAITWA GODFREY JOHN MBARUKU NILISOMA NAE GALANOS SEC BAADAE ALIENDA HIGH SCHOOL MAZENGO. WAKATI HUO ALIKUWA ANAFANYA KAZI KIBO BREWERIES.

PS KWA YEYOTE MWENYE TAARIFA ZAKE AMA YEYE MWENYEWE AWASILIANE NAMI KWA HII MAIL nungu64@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Security:: Agreement:: Humu tumekubaliana anayemtafuta mtu atume 'takwa' lake likiambatana na picha na jina (anuani umetoa). Mie namfahamu, ila nina mashaka (?)
    SEV

    ReplyDelete
  2. Aksante mtuma maoni wa kwanza naitwa Pashency naishi London nitashukuru sana nikipata contact za huyu rafiki yangu

    ReplyDelete
  3. Umenikumbusha huyu mtu nimesoma naye Mazengo alikuwa mwanachama mzuri wa Msazengo ha ha haaa!! nami mara ya mwisho kuonana naye alikuwa anaishi Lugalo Jeshini.Kweli Blogu ni kubwa na inakutanisha watu wa kila aina

    ReplyDelete
  4. kwani mtu anayemtafuta jamaa yake ni lazima aweke picha yake? sio picha ni kwa anayetafuta mwenza? kaka mithupu naomba nieleweshe hapo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...