Home
Unlabelled
pinda aongea na wafanyakazi reli
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapa mie naona bado hakijaeleweka, maana sura za wafanyakazi zinaonekana zina makunyanzi.
ReplyDeleteMzee pinda pigania haki za walalahoi!
INA MAANA KUWA WALIVYOAMBIWA WATALIPWA 160,000 WALIDANGANYWA? JAMANI WATU WAZIMA HAWA NA FAMILIA ZAO MIMI TU MSELA LAKINI HIYO 87,000 HAINITOSHI KWA MWEZI NA NAISHI MAISHA YA KAWAIDA KABISA.VIPI HAWA WAMAMA NA WABABA WANAOEGEMEWA NA FAMILIA? DUH MIMI HUNIFANYISH KAZI HII.NIKI UZA NDIZIMTAANI KILA SIKU NAPATA SH.7000 FAIDA HAPA NI KAMA 3500 UKIZIDISHA KWA MWEZI NINA FEDHA YA KUTOSHA SASA NIKAFANYE NINI HUKO TRL.
ReplyDeletehuyo kapuya yuko uchi according to our sukuma custums!inawezekanaje ukavaa suti halafu nguo ya ndani ikaonekana!!hako mnakokaita white vest!! keupe hakatakiwi kuonekana! acha unyamwezi kapuya.
ReplyDelete