Jumuiya ya watanzania Washington Dc-Metro ikishirikiana na ubalozi wa Tanzania (USA) inayofuraha kuwakaribisha katika sherehe za muungano zitakazofanyika tarehe 04/26/08 siku ya jumamosi.
zitafanyika katika ukumbi wa Mirage Hall
1401 University Blvd.
Hyattsville Md 20783,
Wote mnakaribishwa!
NB. Sherehe zitaanza saa mbili usiku mpaka asubuhi,
Tafadhali usisahau kuja na Mswaki!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kama ubalozi unahusika na ndio serikali kwa nini kuwe na kiingilio
    .miaka ile wakati yupo Nyang'anyi hakuuwana mambo ya kuchangishana pesa.

    ReplyDelete
  2. WEWE ANONYMOUS HAPO JUU UNAONGEA KUHUSU KIINGILIO WAKATI INVITATION HAIJASEMA UJE NA KIINGILIO. JE UMESIKIA WAPI KUWA KUNA KIINGILIO? LAKINI INAONEKANA KABISA KUWA ULIKUWEPO KTK HIVYO VIKAO VYA KUPANGA HIYO SHEREHE NA SASA UNAWAGEUKA WENZAKO.ANYWAY NA NYIE VIONGOZI MUWE WA WAZI MNAPOTOA INVITATION KAMA HIZI MAANA SASA HIVI JUMUIA ZETU ZINAKOSA UHAMINIFU. SWALI, JE HIYO JUMAMOSI MTU UJE NA MSWAKI TU? AU KUNA KUUZIANA BIA PAMOJA NA KIINGILIO MLANGONI?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...