baadhi ya wadau walioko ubelgiji wakiselebuka na segele.
Hii ni siku ambayo Jumuiya Watanzania Wanasoma na Waishio Leuven, Belgium, walipofanya shughuli ya Kiutamaduni Katika Ukumbi wa "Zaal Pacem, Halelandstraat 14, 3012 Wilsele Dorp.

Shughuli hiyo ilijulikana kama: USIKU WA MTANZANIA NA KUTUNISHA MFUKO WA MIKUMI [MIKUMI-BENEFIT DINNER & PARTY] NA KUFANYIKA TAREHE 03 MAY 2008. Mgeni rasmi alikuwa balozi wetu Mh. Mlay

Ilihusisha shughuli za kiutamaduni na mila za Mtanzania katika kuandaa vyakula vya kitanzania mbalimbali, Mavazi, ngoma zetu, muziki wetu na Utumiaji wa Lugha yetu ya Kiswahili. Hili lilikuwa tukio la aina yake katika kujaribu nasi kutumia nafasi hii kuitangaza nchi yetu katika mwaka 2008.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 14, 2008

    Nawapongezeni sana kwa tukio hilo.Make it a Regular Event that will bring you all together in a spirit of Familyhood.Balozi Mlay I know him he is a charismatic S.O.G.!So make use of that instrument,dont shy away!I hope now that he is a Balozi he hasn't changed a bit.So Bite him Up for your upkeeng.Cheers!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 14, 2008

    mamaa tausi nakuona mwenyewe! Shimo Sila!! uko wapi sponsor? Mzee mwenyewe na pastor dave!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 14, 2008

    Shughuli kama hii ilifanyia last year pale pangae, palikuwa hapatoshi;mamaa Happy uko wapi??

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2008

    Nimefurahi sana kuona events za watanzania zikifanyika katika nchi za wenzetu wa mataifa mengine!Big up and keep up the spirit.Natarajia kuja kusoma Leuven,Belgium mwezi wa tisa mwaka huu God willing! nikiona events kama hizi nafarijika kuwa sitakuwa mpweke nikija huko.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 14, 2008

    Nawashukuru wa-TZ wote wenye moyo kama huu. Nyumani kweli ni nyumbani na I hope hamkuweka Bongo Fleva kwenye hiyo sherehe na kusema kuwa ni muzki wetu, maana itakuwa haibu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 18, 2008

    Duh kweli naona hapo palikuwa hapatoshi......kaka Solo ungekamata kiuno hiko.....lol. wadau ubelgiji hongereni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...