Za asubuhi Michuzi,

Kuna post kadhaa huwa naona za wadau wanatafuta washkaji zao wa enzi hizo (primary, sec, chuo, etc..)

Wabandikie mtandao huu waanza kuutumia -
www.graduates.com

Washkaji kibao wa mashuleni na vyuoni wanapatikana humo.

Siku njema,

Fred
--------------------------------------------------------------------------------------------

Bro michuzi habari!
Naomba unisaidie kumpata sister yangu huyu,Sherifa Said Kajembe(sherry),mara ya mwisho alirudi Tanzania 2000 kama sijakosea.
anaishi German na alisema yuko Hamburg!
kama kuna mtu mwenye taarifa zake Please naomba anitaarifu kupitia email hii
pia kwa simu number
+255713630223,huzu said kajembe.
+2557130524285, salim hassan

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2008

    Wewe Salim Kajembe unashangaza, ni sista wako Sherry Kajembe lakini hujui taarifa zake? na lakujiuliza nikwamba ulimfanya nini huyo ndugu yako[dada yako] hapo mwaka wa 2000 mpaka aache au asikupe taarifa yoyote kuhusu yeye na aliko?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2008

    mbona kina kajembe wapo tanga!! na hata mwinjuma aliwahi kuoa kwenye ukoo wao!! hebu muulize mwinjuma muumini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...