dan mruanda ameisawazishia taifa staaz dhidi ya mauritius kwa bao safi la gonga za wan-twu na kigi makassy katika dakika ya 25 ya kipindi cha pili na ngoma kuwa 1-1. na uwanja sasa unacheka...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2008

    kaka michu update basi mzee

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 01, 2008

    kwisha kazi, hapa ndo mwisho wetu kama tumeshindwa kuifunga maurtius basi tena tusahau,halafu watu wanajifanya kumlaumu kocha sasa maximo afanye nini ikiwa washambuliaji hawawezi ata kufunga penati hivi vitu sio vya kufundishwa inatakiwa wajue kutoka kwenye klabu zao, okay my prediction on the coming games
    CAPE VERDE 3 TANZANIA 0
    CAMEROON 4 TANZANIA 1 okay wadau labda tujaribu kombe la dunia 2014 labda tutapangwa kundi moja na djibout na somalia wanyonge wetu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...