Home
Unlabelled
subira yavuta heri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo mkaguzi hakuchukua rushwa maana TZ hakuna kitu kinachoendeshwa kwa uhalali.
ReplyDeleteMdau
Kigezo ili gari lichaguliwe ni lazima liwe na bima ya 50,000 kila siku na ambayo inatakiwa ilipwe kabla ya ukaguzi na kwa mkaguzi. Ni pendekezo tu hivyo ambao magari yao yataachwa japo yanaonekana mazuri ni kukosekana kwa hiyo insuarance. mmmmmm
ReplyDeletesafi sana.inabidi jk awaombe jamaa mkutano unaofata waufanye tena kwetu,maana watani wetu wanauwania kwa sana,bakoon kwa kawaida ni buku 70 kwa wiki,sasa kama unachukua kilo na nusu kwa siku,siku 5 ni umefunga hesabu nzuri.na hawa wageni ni town trip only hawaingii madongo kuinama kuumiza gari
ReplyDeletejamani wanatoa hela nzuri sana lazima wasubiri wajue tunapata au tunakosa kweli subira huvuta heri
ReplyDeletesweet,
Arusha.