Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2008

    Hapa ni Patashika Nguo Kuchanika!Asiye na mwana aeleke jiwe.Kila mtu aje na ndizi zake katika kanzu,pilau watalikuta hukohuko manaake!Kuleni lakini Bakisheni!Msisahau Mdumange,Kitoto,Sindimba,shauri ya moyo na Mameyamwali!Hapo shughuli ya kiTZ itakuwa imekamilika japo kwa 80%!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2008

    Jamani, jamani, jamani...... tumezaliwa, tumekuwa na sasa tumezeeka, sijawahi kusikia usiku wa akina baba! Usiku wa akina baba lini, jamani, kabla hatujafa?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 06, 2008

    waoooooooo aminia mwenyewe baba yake lazima tuibuke uko.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 06, 2008

    hee usiku wakina mama, kwa hiyo tusije na wakina baba haya bwana ntakuja kucheza mduara, hayo ndio mambo yangu......... its me single lady toronto.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2008

    wadau wa toronto tunajitahidi sana, hongereni kwa kuandaa hii kitu, tutaonana uko michuzi karibu sana na wewe uje.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 07, 2008

    Kaka mithupu ahsaaante kwa tangazo. Naaaaaja mie lkn Finch duh mbona balah tena Finch west kule kwa vichaaa...party naitaka kupigwa naogopa manake mmmh...lkn doooh kuna rusha roooho naenda mie nkarushe watu rooho. Tututututututu

    wacha wacha waseme, watasema mchana eeeh usiku watalaaaaala

    ReplyDelete
  7. Hii poa kabisa tutakuja ila mlichokosea tu ni kuweka huu muziki wa Bongo Flava. Huu muziki ni kwa ajili ya wajinga waliopo huko Bongo sio huku majuu. Wekeni muziki wa nyumbani lakini si Flava, that's NOT OUR MUSIC.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 07, 2008

    Haji mtu huko..Jane and Finch..upige party halafu ukitoka nje gari hakuna au upigwe ngeu...tafuteni sehemu za maana bwana

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 08, 2008

    asante sana michuzi, ukweli ni kwamba hii jumuiya ya toronto inaeleweka na mipango yao, asante sana michuzi.

    ReplyDelete
  10. Msituwekee Flava, muziki mwingine tutakuja lakini si flava na ushenzi wake!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 08, 2008

    michuzi karibu na wewe, uje kujichanganya huku, wanatoronto msikose jamani, na miji mingine mnakaribishwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...