Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2008

    Kp 2o1o mishono yote hiyo haitakuwepo kwani itakuwa imepigwa polish au rangi. hii inamaana kuwa chama kikitoa kanga, baiskeli na vijicent watu wanasahau na kukipa kura za ushidi. hali ndio hiyo!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 18, 2008

    Ni kweli Mtanzania mwezangu ila Kp nilivyomuelewa kuwa huyo Mtu kashachanika sasa anajishona ili kutuzubaisha ss wananchi tuamini kuwa hakuna Mafisadi CCM ila wamechelewa ndo maana wana kikao hao Chukua Chako Mapema(CCM)unakumbuka Michu enzi zile,KP hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 18, 2008

    Unadani Wewe Madu KP hajakosea kbss hizo Khanga wavae wao kama wataziba makovu basi wawaachie hao Waliojiuzulu hata Manzese waone kuwa Watanzania Walala hoi tumechoka sasa.Watajishona Sana

    ReplyDelete
  4. KULIKUWA NA KATATIZO CHA LUGHA HAPA KUTOKANA NA SHULE NILIYOFUNDISHWA HERUFI NA MATAMSHI YA SILABI HAPO MUUNGANO PRIMARY SCHOOOL MOSHI NA MWALIMU ISDORY (NDEURANO) AKISHIRIKIANA NA MWALIMU TEDI MMBAND KWENYE HISABATI 1983 NI KAMA IFUATAVYO KIMATAMSHI. Aaa Bee Chee Dee Eee Fee Gee Iii Jee Kee Lee Mee Nee Ooo Pee Ree See Tee Uuu Vee Wee Yee Zee. haponi kwamba q na x hazipo Katika kosonati za kiswahili. sasa CCM NI KIINGEREZA KILICHO KOMAA KISWAHILI CHAKE NI CHee CHee Mee. HILI NDILO JINA HALISI YA CHAMA CHETU KILICHOTULISHA MATUNDA YA UHURU AMBAYA WAKOLONI WANATUINGIZA MKENGE WAENDELEE KULA

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 18, 2008

    Kwa hali ilivyo ni vigumu CCM kukubali kuachia madaraka maana hata vyombo vya dola vimeishawekwa ktk mazingira ya kutokubali mabadiliko (baada ya kukubali kugawiana nyumba za serikali) kama ilivyo kwa Zimbabwe.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 18, 2008

    2010 Makovu yatakuwa hayajakauka.2 Years to go.Huyu jamaa ni bondia mtaaluma huwa anashinda na Makovu yake.KIPANYA USIPOTEZE MUDA.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 18, 2008

    ninaungana mkono na anony wa 2:19 pm. kuendeleza umaskini kwa kivuli cha kauli mbiu bomu "maisha bora kwa kila mtanzania", ni mkakati kamambe wa chama cha mafisadi kuhakikisha wapiga kura walio wengi wanabakia na elimu duni (st. kata secondary schools) na ufukara wa kuwa tayari kuuza kura zao kwa khanga au fulana!!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 18, 2008

    Hahahaaa kweli kila mtu hajui hatima ya chama hiki.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 18, 2008

    BRO MICHU UCHAWI UTAKUWA UMEISHA AU HAPO HAMNA KITU

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 19, 2008

    jamani jamani chama chetu bomba. ccm oyee!!

    Nantombe
    moshi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...