Jumuia ya waislam wa Washington D.C inawaalika watu wote kwenye hitma ya pamoja siku ya jumamosi hii Juni 21, 2008 saa tisa jioni. Tunanatarajia kuwa na hitma ya kuwarehemu marehemu na kuongelea mambo na mipango ya kufanya wakati wa mfungo mtukufu wa Ramadhani hapa D.C
Anuani ni: North four corners local park,
211 south wood avenue,
silver spring,
md,
20901.
Wote mnakaribishwa kutakuwa na soda kwa wingi, juisi nyama choma na mapochopocho ya kila aina. Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na
- IDDY SANDALY -3016135165,
MGANGA MUHOMBOLAJE -2023740988,
SALEH LONDA -2402738871,
MAYOR MLIMA-3018068467
ZAINAB (ZAINA) BUZOHERA-2404132359, ASHURA (BONTO)-2404217017,
NURU MWAMENDE-2406039364.
Kitimoto, na nyama choma vitakuwepo
ReplyDeleteNa safari hii mjue jinsi ya kutofautisha mwezi mtukufu wa ramadhani na sherehe zenu zingine za kawaida.
ReplyDeleteMambo ya kuwaalika watu kufuturu kwenye makundi ya watu wasio jiheshimu na ambao hawana heshima na mweiz mtukufu muache.sehemu ya kufuturu sio sehemu ya watu kugombana,kutukana na kutoleana majungu.
Kwahio ndugu zetu waislamu sio mnafanya mambo kwa kujionesha tu tafadhali tunawaomba mue na heshima zenu na muheshimu mwezi mtukufu.tunajua mko marekani lakini haiwafanyi kusahau maadili ya mwezi mtukufu.
Nadhani ujumbe umewafikia walengwa.
Mdau hasiyependa wanaf'ki
CHONDE! CHONDE! WAAMBIENI DADA ZENU KWANI KANGA NA KUJISTIRI KUMESHIA TANZANIA AU.... MAANA INASIKITISHA KUWAONA JINSI WANAVYOJIDAI WAMESAHAU KUVAA KANGA AU NGUO ZA HESHIMA.NA KAMATI MKICHAGUA CHAGUENI WATU WANAOWAKILISHA JAMII MAANA BAADHI YA WATU HAWASITAHILI KUWA KWENYE HIYO KAMATI.
ReplyDeletewe nawe 7:12 toa pumba,sio lazima uvae baibui,kuna wanayoyavaa na mambo yao ni machafu ya chooni!
ReplyDeleteAshura Bonto upo?miaka mingi! natumai shughuli itakuwa nzuri saaana,maanake wewee si haba!Saudia tunaku-miss hapa.mdau,SAUDIA.
ReplyDeleteTEMBO HAPO SIO MAHALA PAKE KWAHIYO MSILALAME JAMANI.
ReplyDeleteBora ulivyo andika Ashura (Bonto) tumemuelewa, ungeandika ashura binti nani nani tusingemuelewa, naona mambo yatakuwa bomba, mahanjumati kwa kwenda mbele ashura nakuaminia.
ReplyDeleteJamani Zaina!! upo shost? mi nilisikia uko Holland umeolewa na mzungu! haaaa! siamini ni wewe kweli buzohera? tuliosoma wote makongo(lugalo? ama kweli dunia ndogo nitakupigia simu nihakikishe maanake mimi niko hapahapa u.s.a na hatuja wahi kuonana.Hongera sana uwendelee hivyohivyo na kusaidia jamii.
ReplyDelete