Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ebwana da! mzee wa vijisent ana masooo,alijaisha la vijisent la ndumba ilo.
ReplyDeletekudadadek,,,,,,,,,,,,,,
Cha ajabu na kushangaza habari nzito kama hio ya uchawi bungeni haikupata nafasi hata kidogo kwenye blog hii ya jamii ya watanzania wengi.blog ndogo kama ya haki ndio ilikuwa na habari nyingi lakini uchache wa watu wanaotembelea kule sidhani kama tumeweza kusikia maoni ya kila mtu.kama watu tunaowategemea kuendeleza nchi wanjihusisha na mambo ya kichawi.je tutaendelea?
ReplyDeleteSamahani sana michuzi kama nitakuwa na kuhudhi kukwambia kwamba kuna mambo mengine sio lazima huyafiche hata kama inawahusu mabosi wako.kuwa na uhuru wakutoa habari na pia habari ya uchawi bungeni ilikuwa imeenea kwenye vyombo vya habari kwahio sioni kwanini huogope kuweka humu.
Asante sana KP kwa kuwakilisha.
Michuzi samahani tena na kama unaona maoni yangu mabaya unaweza usipost kwani una haki ya kufanya hivyo.ninacho shukuru kwamba ujumbe umepata.
Mdau mzawa
DUH! KP ACHA SOO BABA KE!!
ReplyDeletesir, MIHUZI UMEMSOMA ANONYOMOUS wa june 20,2008 5:41 pm. un lolote la kutueleza waungwana juu ya kisa hiki?.
ReplyDelete