Home
Unlabelled
mabanda ya watani wa jadi uso kwa uso
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
tigo inatusaidia sana vijana na wanafunzi kwa ujumla, hiyo voda ni ya wazee!
ReplyDeletevena
Arusha
Jamani kwani hakuna rangi nyingine ila blue tu? Hawa jamaa vipi, wote wameanza kufanana sasa. Mi ndiomaana naipenda naninhii.
ReplyDeleteNyie tigo na Voda, hebu muwe creative kwenye hizo corporate color zenu. Wote bluu bluu manake nini. Si mnamcheki Zantel na Celtel walivyo.
ReplyDeleteBlue ni rangi ya Voda. tiGO ni wazi wamechemsha.
ReplyDeleteNi kweli tiGO pia wana blue katika rangi zao, lakini huwa tunawatambua kwa ule mchanganyiko kamili wa rangi zao zote (blue, njano sijui na kijani) sio kama hivyo wanavyofanya kupaka blue tu.
Ona sasa hakuna tofauti na rangi ya Voda.
Mzee wa Mapesa vipi Sheikh!!?