wadau waliotaka mkombozi wa namba za simu wanaambiwa kwamba mzigo mpya umeingia na angalia msichelewe kama safari iliyopita maana kago yenyewe haikai.
hii ni ufumbuzi wa wale wanaopoteza simu ambapo kifaa hiki huhifadhi hadi namba 1000 ambazo unazihifadhi mahali salama. simu ikipotea ama namba zikiwa zimejaa ama simu ikiwa imedata unafungua mkombozi wa namba za simu unakomboaa namba zako kiulaini kabisa.
bei ni poa kabisa. zinapatikana kwa sh. 10,000/- tu!
kwa dar mkombozi zinapatikana: Intermarine Clearing & Forwarding, Karibu na Antelope Travel Agency mtaa wa Jamhuri street, na duka la muziki Kilimanjaro Audio Visual lililopo Corner Bar, Sinza
kwa watu wa moshi na a-taun mkombozi zinapatikana duka la Radio Specialist hapo Moshi lililoko karibu na ofisi za Vodacom, moshi
maelezo zaidi piga simu namba 0712 40 40 44 uliza chale

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2008

    Haka kadubwana kakicrash kakiwa na namba ndani yake inakuwaje sasa? Afadhali simu ikicrash, nitazipata namba zangu toka kwenye chip. Hebu Mdau tutoe shaka hapo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 26, 2008

    KAKI CRASH BASI UTAKUWA NAMBA ZAKO KWENYE SIMU KWANI HAVIWEZI KUHARIBIKA VYOTE KWA PAMOJA SIMU NA HICHO KIDUBWANA NAPIA HIYO NI KAMA AJALI PIA KUA SWALA LA KUIBIWA SIMU KADI YAKO ITAKUWA IMEPOTEA PIA HIVYO BADAO HIKI CHOMBO KINA UMUHIMU WAKE MKUBWA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...