wasanii wa kikundi cha tanzania house of talent a.k.a THT wakionesha umahiri wao wa sanaa ya jukwaani usiku huu katika kituo cha utamaduni cha urusi, dar, katika kuadhimisha siku ya mtoto duniani. juu ni mwimbaji wa kundi hilo anayekuja juu kwa kasi sana, mwasiti, na chini ni wachezaji wa kundi hilo wakifanya vitu vyao.


Michuzi wajionaje na hali leo.Mimi na Kiswahili changu nilichofundishwa kidato cha tatu na nne miaka hiyo,moja ya kazi ya sanaa ni kufikisha ujumbe kwa jamii.Sasa hawa THT siku ya kuadhimisha siku ya mtoto duniani mavazi ndo hayo(Picha ya chini).Ndiyo wanawafundisha nini watoto wetu???.Naongelea mavazi tu.Ahsante.
ReplyDelete