Vipi mzee wa Libeneke, pamoja na kunibania habari zangu Mbili moja ya rafiki yangu tulisoma nae mtaalamu wa kuiba machungwa ya shule, na story nyingine ni Mabilionea Duniani ambazo zote haukuzitoa, anyway inawezekana una mamabo mengi sana kutoka kwa watu tofauti tofauti ndio maana umeshindwa kutoa hata hivyo naamini kuna siku utanibandikia.
HAPA NINA HII NYINGINE KUNA DOGO YUPO HUKU UK NI CHINGA WA MASASI, BWANA MDOGO AMBAYE ANACHEZA MPIRA KWA KIWANGO AMBACHO SI CHA KAWAIDA, TAYARI AMESHAVIZIWA NA TIMU KUBWA, ANGALIA HIYO WEB.
ASANTE.
MDAU UK
Wapi kwenye hii link inaonyesha dogo ni Chinga wa Masasi? Nimeangalia Video Clip sikusikia hicho kitu. Ingawa Inglish yangu not reachable, neno Masasi ningelisikia. Ufafanuzi tafadhali.
ReplyDeleteMdau toka CHIKUKWE -Masasi
Bado safari ndefu. So far katika hiyo timu ni John Terry tu aliyetokea Youth Academy.
ReplyDeleteLazima kupiga polish buti la Deco
Naweza kusema dogo kapiga hatua kubwa, at the age of 13 una sign na hao jamaa future imekaa vizuri. nimesoma habari yake kidogo na dogo ametua UK miezi 7 tu iliyopita kutoka bongo na tayari kashaonyesha kiwango.
ReplyDeletechek hapa http://www.basingstokegazette.co.uk/mostpopular.var.2365867.mostviewed.blue_is_the_colour_for_schoolboy_hotshot.php
Mdau.