Home
Unlabelled
jk ampokea migiro dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani kuuliza si Ujinga: Sasa kati ya hao wawili nani Bossi? Au kwa maana nyingine nani anatakiwa ku "kiss-ass"? Mmoja mkuu wa nchi na mwingine Umoja wa mataifa...Mhhh sielewi kabisaa...!! Ila hako kamama kwakweli kamesafisha jina...halafu hakazeeki...na huo ulaji wa UN? Lol....heri yako...!!
ReplyDeleteJamani twende turudi nyuma, mama huyu ana figure. Kuhusu nani mkubwa ni Rais kwa sababu ana madaraka wakati mtu wa UN hata kama ni Katibu Mkuu mwenyewe hana madaraka ila ana heshima. Mathalani, Rais wa nchi yoyote duniani ana uwezo wa kuamuru polisi wamweke ndani Katibu Mkuu wa UN ingawa atashutumiwa kwa kuvunja Mkataba wa Kimataifa unaolinda wanadiplomasia. Lakini kwa upande wake yeye Katibu wa UN, hawezi hata kumpiga mkwara tu Rais wa nchi hata kama nchi hiyo ni Zanzibar.
ReplyDeleteMdau uliyeuliza.
ReplyDeleteUNO ni 'NGO' tu ambayo wahusika ni nchi huru, na Tanzania ni sovereign state. Kwa hiyo boss hapo ni Raisi Kikwete.
Asha Rose is a very good woman, hana majivuno na cheo alichonacho, hana muheshimu kila mtu! hana upendo na ni mcheshi yote hayo ni very intellegent woman,ni mpenda kazi, hana makuu, yuko very simple!! tunakuombea dua mwenyezi Mungu akupe uwezo ufanye kazi yako kwa ufasaha na utoe maanuzi yenye busara be blessed sister!
ReplyDeletei love that woman shes real and intelligent especially on zimbabwe's issue during AU Meeting...the rest snitchs
ReplyDeleteuwazi umevuka mipaka.
ReplyDeletekama hujui kiswahili lugha ya nchi yako hakika hata kizungu kitakutatiza. jaribu kujifunza au hata kwa kuuliza. Sijaelewa hana muheshimu au anamuheshimu? hana upendo au ana upendo? duh aibu kama sisi wenyewe hajui kiswahili jamani.
ReplyDeleteHellen nakushauri kabla hujatuma maoni yako ni vema yapitiwe na mtu mwenye uelewa kuliko kuandika Kisawhili kinachotia kichefuchefu.Ukikosea mara moja haidhuru.Lakini kosa moja linakuwa linarudiwa rudiwa-hana muheshimu!hana upendo nk.Rudi tena shuleni naamini hata Kiingereza itakuwa hivyo hivyo tu.
ReplyDeleteWe Hellen Mhaya we! Hujui kiswahili.
ReplyDelete