Ibada maalum kumuombea Mzee Thomas Marijani Kizigha leokatika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front jijini kabla ya kupelekwa uwanja wa ndege tayari kwa kusafirishwa kesho asubuhi
Msafara ukianza toka nyumbani kwa mtoto mkubwa wa marehemu, Charles Kizigha, Mbezi Beach
Mwandishi Mwandamizi wa Tanzania Standard Newspapers Ltd (TSN) wachapishaji wa gazeti la daily News na HabariLeo, Charles Kizigha, akiwa amebeba msalaba baada ya Ibada maalum ya kumuombea Marehemu Baba yake mzazi, Mzee Thomas Marijani Kizigha ambaye anatarajiwa kuzikwa wiki hii nyumbani kwao Usangi mkoani Kilimanjaro. Imepangwa asafirishwe kesho kwa ndege Jeneza lilolobeba mwili wa marehemu likiingizwa kanisani kwa ibada maalum
waombolezaji wakiwa kanisani
Kaka Franklin Mziray akiteta jambo na mfiwa Charles Kizigha
Baadhi ya wafanyakazi wenzie na Charles Kizigha wakiwa kanisani na waombolezaji wengine
Familia ya Hayati Mzee Thomas Marijani Kizigha kanisani leo





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2008

    Poleni sana familia ya Kizigha kwa msiba huu mzito. Baada ya kumpoteza Mama miezi michache iliyopita, na sasa Baba kwa kweli ni majaribu makali.

    Mungu awalinde na awape nguvu wote Kaka Charles, Dada Diana, Rosella, Lilian, Sheddy, Pepe, Dotto na Baby Catherine.

    Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana na lihidimiwe.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 24, 2008

    Brother Charles pamoja na familia,

    Poleni sana kwa msiba huu mkubwa. Namuomba Mwenyezi Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.

    Inawezekana ni wewe Brother Charles, au nduguyo tulikuwa naye
    (Maendeleo 3) BOX 2, Songea. Siku nyingi kidogo.

    POLENI SANA.

    Rashid, (rdor7819@hotmail.com)
    London, UK.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 24, 2008

    poleni sana wafiwa kwamsiba mzito hiyo ni njia ya wote mbaya ukitangulia tu,

    sweet,
    Arusha.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 24, 2008

    Sisi tulikupenda lakini bwana alikupenda zaidi.Jina la bwana lihimidiwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...