Onyesho hilo litafanyika huko Northampton mwezi December 2008.
Wanamitindo wa Tanzania zaidi ya watatu watapata nafasi ya kuonyesha vitu vyao huko Uingereza. Habari zaidi zinatolewa karibuni.
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
umekuja na mdogo wetu JOE au kachemsha tayari kama tulivyojua?
ReplyDeleteAsia
Go Khadija! Wishing you all the best. Huyu dada nimesoma nae Kenya kwa kweli alikuwa anajituma sana. Nifuraha kuona wadada wenzetu wakibongo wakifanya mambo kama haya.
ReplyDeleteWasichana wenzangu tuige mifano hii sio kukalia umbea na kutukanana kwenye mablog.
Big Up Michuzi!! this is what we need to see kwenye blog's.
Uongo mmbaya huyu dada nikiiangalia picha yake sana naona kama vile macho yanauma vile hasa nikimuangalia machoni naona kama nalazimika jicho mocho kulipeleka kulia na likingine kusho kwa wakati mmoja(aka kengeza)
ReplyDeleteHongera dada, hongera sana. Wana mitindo wengine wa Ki-Tanzania waige mfano wa dada huyu... Hebu ona alivyo pendeza na anaonekana she knows what she is doing. Kuna wanamitindo wengine bwana sijui wanafuata mkumbo tu. Na hata wakivaa pia hawapendezi aaaaaaa.. Michuzi hebu waweke hao wengine wawili ili tujue kabisa wanani wanaenda kutu represent huko. Tusije tia aibu bure. Hongera mama..you looking sharp and i like your style.
ReplyDeletehey dija mambo vp?its ben long time,aint cee ya.keep doin what whacha doin,big up mama.this is me baajun hussein,your brother' Mussa"friend who was living Block 41 close to Aunt razina"s house.u may recognize me?.aight pls find to me a mussa's contact,.i wana tolk to him.take ma mail and give it to him jr_menofhonor@yahoo.com
ReplyDeleteNilifikiri Didas ni jina la kiume - au kuna kitu nakosea kusoma hapa. Nakumbuka pia kuwa na jirani akiitwa Bhoke lakini alikuwa mwanamke sasa leo nimeona Bhoke Munanka mwanaume hapo juu - au akili yangu inaenda kinyumenyume sasa...
ReplyDeleteBig Up Khadija. Hongera mshikaji .
ReplyDeleteDublin
Centre for Sustainable Fashion Conference, 27-28 October 2008, London
ReplyDeleteOctober 2008 will see the Centre for Sustainable Fashion stage it's first conference, asking whether fashion can bring about a long term lifecycle change to move us towards a more sustainable economy and better lives. The conference will feature an evening reception and catwalk show to include a showcase of selected work from the ‘Chuck it or Keep it' competition. This will showcase creative solutions to the issue of consumption and sustainability by students and graduates from across the world.
Bhoke,Didas, Tumaini, Omega, Hilary,Zawadi are Unisex names
ReplyDeleteusione kizunguzugu unless ur zingwikuku IoI