samaki nchanga kwenye ndoo
akiandaliwa
akipimwa uzito

akiwekwa sawa
makarangizi


akikaribia kuiva
akisuburi oda....


Michuzi,
Unakumbuka picha za mdau Perez huko Lukuledi, Masasi: PANYA, a.k.a. Samaki Nchanga?
Basi unaambiwa wengine wenzetu wachina) wanakaangaga panya namna hiyo
Mdau Born Again Pagan









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2008

    Tupe matokeo ya SIMBA na URA acha ujinga wewe

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2008

    yeah huko kwako ni chakula kama kawa. Ila wameambiwa kwa wakati huu wa olympic ni marufuku kusave mbwa au panya hotelini. Mpaka olympic iishe

    lakini panya wao sio wale panya kama wa bongo. Hawa ni jamii ya kama ya Sungura sijui mbwa ni mbwa gani hao ila wanakula wenzetu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2008

    Sijui ni matayarisho au nini mbona hapa anavutia kusema unaopoa kipande cha kuku, wale tulokiwaona jana! mh!afanaalekum kusema ndo sasa hivi kantoa kwenye gunia la nkaa au shimoni kwenye nyumba yake, chambile cha wahenga siku zoooote chanda chema huvishwa pete, na ving'aravyo vyote si dhahabu vyenginevyo ni shaba hughilibu, maana ukikirimiwa mgeni hiyo sahani aaah1 kwa raha zako na ukirudi home unasifu nilikirimiwa msosi babu kubwa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2008

    mh panya panya tu hamna wakwao wala wa kwetu me nachefukaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2008

    samaki au panya wadogo!!!!!!!!!!!!

    sweet,

    Arusha.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2008

    wale wote wanao kubaliana na kula panya wengi wao huishia kuvuta madawa ya kulevya maana mtu mwenye hakili timamu hata weza kuiga ujinga.

    na mwisho sumu ya panya ikiwaingia ni kutamani kula watu wenzenu

    mtu mwenye busara asingetuletea panya na kusema samaki
    mnahitaji kumuona dr.bingwa wa ubongo huenda mkawa mmedata tayari

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 25, 2008

    chaumbile MNUNGU cha kumanena,halamu lijanga.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 25, 2008

    michuzi!why do you like traumatizing people's stomachs and appetites like this?!sio vizuri hivyo.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 26, 2008

    duu mwana mie kama kweli panya wanasoko hivyo mie nitafutieni watu huko china niwe na export hawa panya walio kule tandale nilipokuwa naishi mbona hii biashara safi tu ndugu,,,,,,,,,,!mie naamini asenga mkaanga chips pale sehemu akiiona hii picha si ajabu akatubambika panya badala ya kuku,manake panya alivyo ukiletewa kwenye kigiza usiku mbona unauvaa mkenge unakula na wala hutokubali kama ni panya,mie kama ningepata mtu wa kuzisafirisha hizi panya zilizopo tandale tu kwa mtogole nazani uchumi wa nchi ungepaa ni wengi kuzidi maelezo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...