** Message **Aibu tupu iliyojaa hapa ulaya kutokana na scandal la TFF,mimi niliifumbia macho hii kama siioni lakini majarida mengi ya ulaya kila siku yanatupakaza ile mbaya yenyewe yaani, we acha tu...
** Jersey reprieve for Tanzania star **
Pardon for player who swapped jerseys with Samuel Eto'o. Click below to read the story..
/hi/football/africa/7487937.stm
Ohhhhhhhh ona sasa kuna haja gani ya kuwa mbongo?si bora niwe mrundi,mrwanda au msomali kabisa!au bora nikichukua uraia wao huku niondokane na aibu,ufisadi,ufisadi kweli ni ugonjwa.
ReplyDeleteBw. Michuzi huyu jamaa aliyetuma hii topic, kasema ulaya wanatumbona???.
ReplyDelete1. Kweli wbesite ya bbc ni ya UK kwenye link ya bbc africa. Nadir haroub lazima wamrudishie jezi ila sijui kama mchezaji kama alikuwa anajuwa hizo sheria kama angekuwa anajuwa hakutakiwa kufanya. Tanzania tubadilishe hizo sheria labda kama jezi ndio hizo hizo wanatumia kuchezea tena.
2. Kuhusu jamaa yangu anayeponda ni mtanzania mwenzetu hapondi anasema ukweli wa mambo ulivyokuwa jamaa wenye jina hapo juu utaona kwenye link ni Emmanuel Muga
BBC Sport, Dar es Salaam Story inaonesha ni kutoka Dar-es-salaam ni mwandishi wacha aandike wakati wake wakujulikana kama mwandishi.
Chama cha mipira wawekeni wachezaji wenu darasani na nyie wenyewe pia kabla hamjajiabisha. From Pan African Oyeeeeeee Swahili Street. Mandazi road.
bro hii haipendezi hata kidogo. fikiria hata huyo Etoo mwenyewe anajisikiaje. kwenye bango kubwa BBC picha ya huyo mchezaji na bendera ya Tanzania kifuani. dhuuuu, hii noma. TFF kama jezi zinapungua basi anzisha harambee. tutawachangia ili mununue jezi.
ReplyDeleteWabongo kwa kulalamika!
ReplyDeleteHuyo mwandishi kaandika kilichotokea, sasa tatizo liko wapi?
Viongozi ndo baado wana mawazo ya mwaka 47 - yaani kubadilishana jezi wanaona kitu cha ajabu? Hiyo jezi thamani yake ni shilingi ngapi? TFF amkeni, kumekucha vinginevyo mtapigwa bao la kisigino!
Mbona tunalalamika kwamba ni aibu mara Bongo akufai....Swali hili sio Bongo pekee yake kila nchi au club kuna taratibu zao kunabaazi ya jezi hata manchester au Chelsea wachezaji wote wanafahamu kama ukibadilishana na mtu unabidi uilipie bila kujali ni star wa timu au la .
ReplyDeleteHii ni kutokana na baazi ya jezi kuwa gharama zake ni za juu kwenye utengenezaji.
Sasa hapo tujiulize kwanza kabla hatujalalamika, je wachezaji walikuwa wanafahamu kwamba ukibadilishana jezi walikuwa wanatakiwa kulipia hizo jezi kabla ya mechi,? kama jibu ni ndio basi TFF sio wa kuwalaumu lakini kama jibu hapana hapa ndio tunaweza kuwalaumu kwani Mchezaji husika alikuwa hafahamu hilo
Kenge
Ingawa ni aibu lakini mambo mengine tunajitakia wenyewe hi habari tumeandika wenyewe watanzania sasa haina haja ya kusema wazungu ni mwandishi wetu wa kibongo ndio aliepeleka umbea huko bbc nae ni
ReplyDeleteBy Emmanuel Muga
BBC Sport, Dar es Salaam
...Kama hiyo issue iliishapata solution, huyo muandishi alikuwa na haja gani ya kuipeleka huko BBC?? ama ndio mambo ya mradi kapata chake, basi? afterall, there
ReplyDeleteis something called 'National Intereset'.....!?
Ok, mimi nimesoma hiyo story, kwlei inaonyesha umasikini wetu na kutuaibisha japo ni mzembe mmoja asiye na uzalendo ametuuza. Hata hivyo its not a very big deal, imeshatokea, dunia nzima nje ya Afrika hizo ndio habari wanazopenda kusikia kuhusu Afrika hivyo najua hazikuwa za kuwashangaza.
ReplyDeleteMimi sidhani kama ni busara mtu kusema anajuta kuzaliwa Tanzania au bora abadili uraia..hapo nadhani ni kupungukiwa na busara kidogo. Tunachopaswa kufanya ni kuangalia namna ya kutatua tatizo hili miongoni mwetu lisitokee tena.
Funzo kubwa kwa viongozi wa vyombo vya jamii kama TFF ni kujifunza kutokuropoka kwani wao ni wawakilishi wa Taifa. Ona jinsi kauli ya kiongozi ilivyochafua sifa ya Taifa kwa kiwango kikubwa!! Mambo kama haya yangemalizwa kimya kimya ofisini.
Hata hivyo yamekwisha sasa, yaliyopita si ndwele, tugange yajayo. Funzo tu ni kujifunza kufikiri kabla ya kutenda.
Kwa kweli mwakalebela hatufai tena kuwa katibu wa TFF kwa alishupapalia sana upumbavu ule kama ni maazimiao kikao ya kikao jee walipokuwa wanjadili hicho kitu waluwa wamelewa ?
ReplyDeleteMwakalebela aombe radhi kwa hili