Home
Unlabelled
uso kwa uso na chibiriti
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
This is good.Haya ndo mambo ya mtandao na faida zake. Najua kuna watakajifanya kuuliza huyu ni nani na ana nafasi gani katika jamii.Tembelea hii tovuti mara kwa mara utayajua yanayojiri kila siku.Huyu ndo mtu wa watu Mr.CHIBI. Hats off
ReplyDeletemmmh huyo Chibiriti mwenyewe mbona kachoka hivyo....inavyoonesha hana "mapesa" zinazokunjika vizuri....hayo "manywele kichwani" tu mimi nipo hoi....hamna vinyozi huko alipotoka au ndo kama nilivyosema ni expensive kukata nywele...kama michu...toa uchafu wa huyu jamaa...TUMECHOKA....anatia aibu watu tunaokaa majuu.
ReplyDeletemmmh huyo Chibiriti mwenyewe mbona kachoka hivyo....inavyoonesha hana "mapesa" zinazokunjika vizuri....hayo "manywele kichwani" tu mimi nipo hoi....hamna vinyozi huko alipotoka au ndo kama nilivyosema ni expensive kukata nywele...kama michu...toa uchafu wa huyu jamaa...TUMECHOKA....anatia aibu watu tunaokaa majuu.
ReplyDeleteswaaaafi sana na hivi ndivyo watanzania tulivyo!
ReplyDeletekaribu Chibiriti, happy to see you.
ReplyDeleteNAFURAHA KUONA WATU WANAOWASILIANA KWENYE MTANDAO KWA MUDA MREFU WANAPOKUTANA NI JAMBO LA KUSHUKURU MUNGU NA KUTIA MOYO.UWE MFANO KWA WANAJAMII WA BLOG HII YA JAMII.HONGERA CHIBIRITI NA WADAU WOTE WA BLOG YA JAMII.TUENDELEZE LIBENEKE LA JAMII
ReplyDeleteBIG UP CHIBI,KWA KWERI INAFURAHISHA SANA PALE WANAKIJIJI WANAPOKUTANA LIVE HUYU CHIBI.KWA KWELI NI MOJA YA WATU WALIOPATA COMENTS NYINGI NDANI YA KIJIJ HIKI.
ReplyDeleteMichuzi ,
ReplyDeleteTafadhali mwonyeshe sehemu wanazouza fenicha nzuri mheshimiwa Chibiriti ikiwezekana arudi nazo Cesna.
Anony N02 naona umekula vumbi saana, eti anatutia aibu tulio majuu,,,nyoooo kama kweli vile..we uatafia hapo hapo Tandale kwa mkaanga maini.
ReplyDeletedoctor chibiritiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
ReplyDeletewadau hapo juu wengine mna wivu mpaka kwa celebrity wa globu ya jamii hio kali.
Kuna maannon wengine kazi yao ni kuchafua tu hali ya hewa. sasa wewe mwenyewe ndo unaona umenyoa nywele? hembu tulizana wewee. Chibi tunakufagilia we endeleza libeneke bwana!
ReplyDeleteAnon wa tarehe July 24, 2008 5:08 PM,Mbona huna adabu na heshima kwa binadamu wenzako kama wewe!? Nina wasiwasi kuwa huenda ukawa unaishi kwa taabu sana huko ughaibuni uliko hata kurudi tz huwezi,unabakia kumchambua wenzako waliokwenda kuona ndugu zao.Nyie ndo wale hata mkipata misiba nyumbani tanz ya ndugu zenu wa karibu hamuwezi kurudi kisa MAKARATASI....Shame on you!
ReplyDeleteMichu! ukisema Chibiriti ndio mdau numero uno unaferisha...kila mtu anajua mchango wake huyo jamaa lkn kumpa rank kwasababu alikupa hifadhi ulipoenda cesna umenikata stim....mimi mwenye mdau wa glob hii tangu Michu hujanunua digital camera ulikuwa unatumia stil pix, computer ulikuwa unatumia ya ofisini pale printpark eheheheeee, longtime tunanunua vitumbua pale kwa bi issa karibu na mawenzi hotel kudadek.
ReplyDeletewewe anony wa july 24, 2008 5:07 pm naona hata darasa la 4 hukumaliza yaani akili zako finyu kabisaa wewe mtu awe na kitambi ndio ujue ana manoti? nyambafu kabisa nadhani wewe utakuwa baa medi ambae wmenye kuagizia bia nyingi ndio unaona mwenye hela!!!! kama huna la kukomenti wee uchune tu sio kutoa maneno ya kudhalilisha kwa binadamu mwenzio bila hata kosa.
ReplyDeletenyumbani ni nyumbani hata kuwe kichakani au vipi chibi!!!!
ReplyDeletesweet,
Arusha.
kha...anon wa 2 kaniacha hoi. Kukaa majuu ndo kuchana nywele na kuvaa pamba? Mimi ndo maana hata company za wabongo sizipendi...mawazoni kwao muda wote ni competition...sijui kavaa cheni ya dollar ngapi na kiatu hichi au kile...duh...mpk mnaboa. Just be simple and humble. Its a blessing...dont turn it into a curse to others...
ReplyDeleteHuyo anony wa pili hayuko majuu wala nini..yupo somewhere mitaa ya bunju au mbagala kwake ni majuu maana alidondoka toka Nachingwea majuzi tu...
ReplyDeleteHakuna kinachopatikana kwa urahisi Ughaibuni,bills & tax, bills & tax, bills ndo maisha yenyewe...Hivyo mtu kuweza kukata tiketi ya kuja nyumbani japo kidogo ni jambo la kushukuru.Tusiwe wepesi kuchambua mavazi na mambo yanayoonekana nje!!Kuna watu wengi wanavaa dhahabu kibao,nguo nzuri halafu ukienda kuangalia maisha yao ya kila siku ni michosho tu.
ReplyDelete