ceo wa lebo ya 'wakawaka' mathew j. omari (pili shoto) akiwa na msaidizi wake kwenye banda lao leo. anapatikana kupitia namba +255 784 240028 kwa yeyote anayetaka kuwakawaka
lebo inayokuja juu kama moshi wa kifuu ya 'wakawaka[ pia ipo katika maonesho ya sabasaba na kama mafanikio iliyoonesha kwa kupokelewa vyema na wadau kiasi hata kufanya banda lao liwe na foleni ya wananunuzi kutwa nzima, basi wakawaka itakuwa moto wa kuotea mbali karibuni tu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2008

    Big ups Mzee wa wakawaka. Hawa ndio wajasiriamali watakaoiinua nchi yetu.

    Nimeipenda sana kazi yake. Muambie aanzishe tovuti basi tuweze kununua wadau wa ughaibuni.

    Fahari

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...