zogo limeumuka hapa neshno baada ya kamisaa wa mchezo wa simba na yanga kutangaza sasa hivi kwamba muda wa kuwasubiri yanga ni dakika 45 na sio 15. simba wamekuja juu kinoma.
redio mbao zinsema yanga wanadai walipwe milioni 35 kwanza kabla ya kuingia uwanjani.
HAWA YANGA NI KAMA VILE 'MFA MAJI...' WASEME UKWELI TU KAMA WANAIOGOPA SIMBA KWANI LISHAKUWA KAMA DARAJA LA SIMBA LA KUJICHUKULIA PESA! KUGOMA MAANA YAKE KUWANYIMA BURUDANI WATZ!NNA WACWAC PIA NA UELEWA WA VIONGOZI WA YANGA(ACHENI KUPENDA PESA,KWANI ZA MANJI HAZITOSHI)CHEZENI MSHINDE MPEWE PESA!HONGERENI SIMBA!MAMBO YA KUWEKA MPIRA KWAPANI YAMEPITWA NA WAKATI.THEN TUNATAKA MPIRA UKUE,KWA MTINDO HUU UTAKUWAJE?
ReplyDeleteYani yanga ndio wanataka walipwe mil 35 hili waende uwanjani? Ndio yale yale kwani mkataba ulikuwaje.
ReplyDelete? Na washauri tbl wawashitaki yanga na wapigwe faini kubwa sana hiwe fundisho.ni aibu mno kwa timu kubwa kufanya hivi.
Yani yanga ndio wanataka walipwe mil 35 hili waende uwanjani? Ndio yale yale kwani mkataba ulikuwaje.
ReplyDelete? Na washauri tbl wawashitaki yanga na wapigwe faini kubwa sana hiwe fundisho.ni aibu mno kwa timu kubwa kufanya hivi.
Hapo Jamhuri Kihwelo anakuwa kama anasema
ReplyDelete"Na mshindi katika pambano letu la leo la ngumi la uzito wa juu ni huyu hapa"
Lol