JE UNAJUA SASA KUTOKA KATIKA SIMU YAKO UNAWEZA JISHINDIA SAFARI YA MAREKANI?
UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUANDIKA NENO 'timesfm'
KISHA UNATUMA KWENDA 15727


ijumaa saa kumi jioni Draw itachezeshwa na unaweza jinyakulia pesa taslimu zisizozidi Shs.140,000/= na CD za Slow Jams kutoka Hollywood Marekani.

Draw kubwa itachezwa October 25th 2008 katika viwanja vya mnazi mmoja ambapo washindi 3 watapata TIKETI ya kwenda na KURUDI Marekani ambapo watatembelea kitongoji mashuhuri cha Hollywood Walk of Fame, Disney Land, Universal Studios na Hot92.3 na dola 1000 za manunuzi.

Akhsante

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...