Msanii Ambwene Yesaya a.k.a AY (pili shoto juu) akiwa na wasanii P-Square toka Nigeria hivi karibuni wakati anarekodi nao track yake studi za Hermy B ambayo kawashirikisha.
AY anasema jina la track hiyo ataitoa baadaye baada ya kukamilisha utaratibu wa kusajili, ambapo video ya track hiyo ataenda kuifanyia huko Lagos ambako P-Square wamempa mwaliko na offer ya kwenda huko ili wamtangaze zaidi kwenye soko la Afrika Magharibi. Mwenye jezi ya tanzania ndio Hermy B (producer) na mwenye tshirt nyekundu anaitwa J Martins (kaka wa p square na ndio producer wao).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. EBWANA DAAA! CANT PICTURE THE COLLABO. ITAKUA BOMBA. CEMA CIJAKUBALI MAT-SHIRT YAO YA MG'ALO. P.SQURE WANAHITAJI DESIGNER TOKA BONGO. HAIBU!!!!
    MULOX

    ReplyDelete
  2. Hii habari ni nzuri sana Balozi Mithupu, lkn hapa ndo tunahitaji maboresho kwenye blogu yako japo yale maboresho ya awali yaliltea kwikwi mpaka ukanyoosha mikono juu. Kwa ufupi habari hii ingeunganisha na nyimbo hiyo yani ingekuwa imetulia ajabu..Naomba kuwakilisha.

    ReplyDelete
  3. There you go Ambwene..!!!

    Safi sana pasua anga brother, hard work with focus pays....

    Mdau

    ReplyDelete
  4. Angalia wasije wakakutapeli hao. Wanazwea wakupe hata sauti ya uongo hao. Mkataba usaini na usiwape cash, western Union kabisa hao ...lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...