viatu kwa kinadada na watoto vya kumwaga
suti na viatu kwa kinababa
kinamama na watoto chagua lenu
nguo na viatu kibao
mikoba ya kisasa

Duka maarufu la mavazi na viatu la EK Footwear lililopo kwenye jengo la Benjamin Mkapa Towers (zamani mafuta house) kwenye ghorofa ya chini limeshusha mzigo wa kufa mtu toka ughaibuni tayari tayari kwa sikukuu ya Idd el Fitri.

Unakaribishwa sana!
Kuulizia piga +255 754 264 243

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...