Check the Youtube link for FC BONGO Champions Video.
http://www.youtube.com/watch?v=o4G_Xguex2s Enjoy

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Tunasubiri hizo nyama choma zenu hiyo tarehe 11 mwezi ujao kama mlivyoahidi

    ReplyDelete
  2. Hapo siku hiyo palinoga kweli sitosahau.

    ReplyDelete
  3. sikuona vizuri kwani sijaona wadada wakishangilia.
    siku nyingine mulete wadada uwanjani.
    macho yangu yanaona zaidi hasa kwenye video kama kuna wadada

    ReplyDelete
  4. Vijana wa moro nawaona hapo Bobu na beka, mnastahili sifa saaana.

    ReplyDelete
  5. Bila shaka wabongo nyie hamchezi mpira professional. Sasa baada ya picha hizi ambazo kimsingi tumeshaanza kuzichoka, mtuonyeshe wasifu wenu kila mmoja, kazi mnazofanya huko na kiwango cha elimu mlichonacho.

    ReplyDelete
  6. Eeeh bwana mimi sina mtimanyongo hasa kwa vijana wenzangu ambao wanatafuta maisha huko nje, lakini hawa wabongo wa Finland kwa kweli wanachosha na wameshaanza kuchefua. Kila siku ni suala hilo hilo, hivi hamna lingine la maendeleo la kuonyesha? Nendeni kazini sasa.

    ReplyDelete
  7. DA KWELI HAWA VIJANA NOMAA WANASTAHILI SIFA TENA SANA TU.ACHA HIYO SWIDEN WANAWATAMBUA HAO VIJANA

    ReplyDelete
  8. Makabe na mwenzako anony wa september 15, 2008 7:35PM hamsemi ukweli kuwa mna donge kubwa la wivu na sio kuchoshwa, hizi habari za fc bongo zinakuumizeni roho kwa sababu zenu kibinafsi, mmewapiga vita lakini mmeshindwa, wenzenu mpka leo wanaendelea kusherehekea tu nyie mmebakia kizani nyoooooooooooooooooo.
    Mnatia aibu, tena kubwa sana.

    ReplyDelete
  9. Makabe na anon wa 7:35 asanteni kwa comments nzuri, kweli ya mpira tushayasikia na sherehe mnayoandaa, hongereni sana ila we anon wa 1:50 acha kuukimbia UKWELI, mnaulizwa wasifu wenu na elimu,,mbona unataka kukwepa hilo, UKWELI NI KUWA ASILIMIA 99 YA WADAU HUKU NJE TUNAKUWAGA HATUJUI TUNALOLIFANYA, BENDERA FUATA UPEPO TU,,Elimu 0, maendeleo 0, mradi tuna kibarua cha kutupa hela ya matumizi basi, mkopo tununue gari la kutembelea basi,tukipata chai, lunch , dinner na nguo basi tunarelax, wakati umri unaenda,,mmeuliza la maana, ni vyema kuwa mnatushtuashtua ndugu zenu mana kwa ufupi, TUKUBALI, TUSIKUBALI NI KUWA TUNAPOTEA NJIA, yapasa kuwa tunashtuliwa kidogo kukumbushwa kuchakarika, kujijenga na kuangalia future, sio kushangaa shangaa tu.
    MDAU FINLAND

    ReplyDelete
  10. Hivi kila anayesema ukweli ni adui wa ushindi? Naona kuna watu humo wanaficha personal fealure kwenye ushindi wa hiyo timu.

    ReplyDelete
  11. Hata mimi naunga mkono, hongera za ushindi tulishazitoa. Sasa hivi inabidi mrudi kazini kujiletea maendeleo.

    ReplyDelete
  12. Duh! wabongo kwa psychology eti ushindi wa timu hiyo unatumiwa kuficha personal fealure. Hapa Brixton tunao maloosers kibao, wenyewe hawana timu za mpira kama wa huko Helsinki, lakini ni mashabiki CCM, sasa ole wako uwaambie waende shule au kazini umetafutia matatizo...yaani ni copyright na hao Wabongo wa Helsinki.

    ReplyDelete
  13. Haya mmeshapewa changamoto na kwenda kazini. Mijadala ya nyama Sweden, vipapatio sijui mji gani ule mlioenda. Hauwasaidiii vijana, kazi na shule ndivyo vitawasaidia. Next time inabidi mtuambie mmepeleka kuwekeza nyumbani na sio kutuletea uzushi wenu wa pilau bila nyama.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...