Home
Unlabelled
haki ngowi ndani ya nyumba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haki hivi umeoa? Walah nakuzimia kishenzi! Answer me pleeeaasseee!!!!
ReplyDeleteHeshima Kwako.
ReplyDeleteKumbe Kaka Haki anakaa ughaibuni? Mbona kwenye blog asema Dar Es Salaam? Yawezekana mimi ndo uelewa mfupi, si unajua wengine akili kama Koflyn (Shake well before use). Hope kuna wa kuelewesha
Baraka kwako
Mi napenda sana kuangalia hii blogu ya Haki Ngowi, yaani nikimaliza kuangalia blogu yako michuzi, natafuta ya HakiNgowi. I admire his work. Keep it up nyote wawili
ReplyDeleteYUko India?
ReplyDeleteHaki ya mungu bora ze fulanazzzz imepotea kumbe chuzi unapigaga tai? Na katika jina la bwana ze fulanazzzz itoweke mpaka siku ya hukumu!!!
ReplyDeleteMichu,
ReplyDeleteYaani baada ya kupotea kwa fulanazzzz naona umekuwa smart sana na tai za ukweli ukweli!! Mwizi wa fulana adumu kabisa!!
-G'luv.
Tai rangi sio
ReplyDeleteJamani kumbe kaka ngowi uko majuu,nilidhani tunagongana kariakoo pamoja...blog yako nzuri,lakini last wiki ilikuwa na kigugumizi kidogo..dada yako kekue
ReplyDeletewho is he???like tha adi uyo annon wa 1 udelele wamchuluzika?
ReplyDeleteaisee yan MICHU oyeeeeeeeeeeeee taiz oyeeee imekutoa kinoma mtu wangu,,,ze fulanazzzz ziiiii,,
ila unalipa michu weee acha tuu asa izi pamba za leo walhahi
Mwacheni Haki ngowi mchumba wa mtu eboooooooooooooooooooo
ReplyDeleteKaka Haki blog yako iko juu kishenzi! Hongera sana Bro.. Michuzi uache tu flanazz itokomee, haikupendezi hata kidogo. Check hapo ulivyotoka bomba!!!!
ReplyDeleteMichuzi kumbe Ujerumani hii majuzi ulienda kula interview ya kazi idhaa ya kiswahili Germany....hongera
ReplyDeleteKumbe Haki ana mchumba tu... Nilidhani ana mke, kifupi bado yuko huru!!
ReplyDeletemboni wahandishi wote mwakimbilia nje???jaman,,,vijisent eeeee
ReplyDeletewee annon 10.54am,,,,uchumba ndo nini kwani???ndoa yenyewe ziiii sembuse uchumba,,,anaweza pigwa bao tu
ila jaman watu mnakula hasira???ao mayatima sio kuwalisha tu yan apo ingelipa iwapo atokea jamaa asema mimi ntawafadhili yatima kadhaa shule adi chuo,ufundi nk.sio fudi na nguo ebooooo
okay hakingowi ndio maana umekuwa kimya kupost new thread kumbe upo bongo.
ReplyDeleteHongera Bongo tambarare kama michuzi anavyosema, Je ni kweli Tambarare?
Haki you are looking good. itabidi uwe mra moja moja unatupeperushia picha zako na mamaaa. Watu hapa hawajuhi sasa kama uko single au..haya looking good guys. Bongo tambarare...
ReplyDeleteKumbe Haki uko nje? mi napenda sana kusoma Blog kuliko habari za magazeti naanzaga na :-
ReplyDelete1. Michuzi
2. Haki Ngowi
3. Bongo Celebrity
4. Spoti Starehe
5. Michuzi Jr na wengineo wanafuata...
Mdau Mselemu, MD
Wadau mnaoulizia kama Haki kaoa au ana mchumba tunatak kujua jinsia zenu....
ReplyDeleteHizi picha jamani,subirini mumuone live..
Michu umetokea kchizi..big up!!