Kaka michuzi,
napenda kuwatangazia wadau wote kuwa vile vifaa vya kulonga longa kwenye gari kwa ajili ya madereva vimewasili sasa kutoka Ujerumani.
Unaweza kuona demonstration ya jinsi vinavyotumika na kujipatia sehemu zifuatazo:
Jerry car wash, SINZA HONGERA,
Sam Internet Cafe, SINZA MORI,
na
TK&A Kitega Uchumi First floor.

Kwa mawasiliano

spoi2002@yahoo.com
0713341040
VIFAA VIKO VICHACHE WAHI SASA!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...