supa modo cynthia masasi akipamba majarida ya umodo yaliyotoka mwezi wa pili
sikiliza mahojiano yake aliyofanya huko nyuma na radio butiama kwa kubofya hapa
sikiliza mahojiano yake aliyofanya huko nyuma na radio butiama kwa kubofya hapa
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Teh teh teh.........ngoja watoke kupanga box...:-) Michuzi mchokozi jamani..........
ReplyDeleteDada unasema ulipenda kupigwa picha toka utotoni, na ukasema pia kwamba kipindi hicho ulipokua mdogo huwa kama huridhiki na picha, unamuambia mpiga picha pale pale kwamba piga nyingine?
ReplyDeleteDigital camera hazina muda mrefu ambazo zinaonyesha pale pale. Sasa ulikuaje unamuambia mpiga picha kwamba sizipendi hizo wakati picha za wakati huo zinachukua muda mpaka zisafishwe?.
Kweli mademu wa Kibongo bomba sana sasa sijui wenzangu kwanini mnawakacha
ReplyDeleteHii inaitwa magmypic.com. Huyu mtu hajatokea katika gazeti lolote. Ni kwamba unakwenda online www.magmypic.com unaweka picha yako katika templates za magazeti kadhaa, edit kidogo tu unapata kitu kama cha huyo dada.
ReplyDeleteHuyu ni mzushi hajatokea katika gazeti lolote kati ya hayo aliyoyaweka. kukuthibitishia Michuzi na wadau wengine na copy moja ya picha za kikao cha ccm kutoka kwenye hii blog na kukutumia uipandishe.
Huyu dada amezidi kujifanya supa star wakati hana lolote ni mzushi.
Mashaka mwingine huyu....Mbona watu kujitafutia umaarufu hivi. Mnatuchosha na mambo yenu..... magazeti ya online basi muweke picha huku...tukisema tuna tunaroho za korosho
ReplyDeleteMcheza ngoma hajisifii bwana watazamaji ndio huona....Subirirni mambo yenu yakishanyooka tutawaona tu....Muwadanganye huko huko bongo lakini mkumbuke siku hizi hamna siri hata wabongo watawashtukia tu
we retard Ngwengwe. Stop playa hatin. Hiyo picha ya juu ndio ya magmypic and it clearly says that for all of us to see. We ndio unajiona umegundua sana? magmypic kwani nani haijui? Au ndio umeijua leo wewe?
ReplyDeleteHiyo ya MIMI magazine it's real. Tembelea hapa: http://www.mimimagazine.com/2008/february/04-02-cynthiamasasi01.html
Kwani kutokea MIMI Magazine ni hatari? Angetokea TIMES je?
Anony wa 4:35 pm umeongea ukweli. Sio kwamba tuna hate but huku USA ni Hasheem THabeet peke yake aliyeuona mwezi wengine wote tuko sawa na kelele kibao. Hana kitu huyu, hata kwenye video ambazo huchukuliwa machabgudoa wa huku; hachukuliwi tena.
ReplyDeleteNI KWELI HIYO SIO JALADA LA GAZETI LOLOTE NI UONGO MTUPU uNAWEZA KUFANYA "MAGMYPIC" HATA KWENYE VIJISTORE VYA " WALGREEN DRUG STORE" uNACHOFANYA NI KUPELEKA PICHA UNACHAGUA COVER LOLOTE WANAKUWEKA. Cynthia bwana wanaosoma michuzi sio walioko Bongo peke yao na usifanye watanzania wajinga. Wengi tulioko majuu tunaelewa hiyo technology ya "MagMypic" kama unafanya mafitu fanya tu lakini usilazimishe kwa kufanya watu wajinga. kila kitu na wakati wake, umekwisha umekwisha.
ReplyDeleteyou people mnanichekesha with all your comments!hahaaa
ReplyDeleteHivi wewe 6:14 pm MIMI ni gazeti nalo...Kwanza ni la online na pili kuna magazeti mengi sana USA yanakuwa publish na hata hayajulikani. Na hata kwenye college nyingi zina magazeti yao kila kona.
ReplyDeleteKama unaona hilo mimi ni gazeti la kukuwekea CV basi na wewe peleka picha yako huko. Wala hawaikatai wanaifanyia tu photoshop kidogo na wewe utajisikia kuwa ni model....
It is too much with this cheap publicity.
inaelekea majuu kumewaka moto watu wanajipalilia njia kupitia blog ya kaka yetu..Michuzi uwacharge watu siku hizi na matangazo yao.
Ingekua kama zamani hamna kugoogle huyu angeenda bongo na hayo mapicha hayo yawe CV awaambie kuwa mimi nilikua model mkubwa sana huko USA huoni picha hizi teh teh teheteheeeeeee
Wabongo wala msichacharike na hili. Tuko huku na tunawaona hawa watu kila siku the so called "6 figures", "models", "actor/actress" to name the few.
Anony wa 12:15 AM, mi ni anony wa 6:14, kama ulielewa point yangu usingejibu. Maana kutoka MIMI sio big deal maana hata pic yenyewe aliisubmit Cynthia mwenyewe. Nilichokuwa natanabaisha kuwa MIMI is a true magazine; the only fake pic ni ya kwanza, hiyo ndio ya magmypic. Na kwa kuongezea nikasema watu wanamind wakati kutokea MIMi ni kitu kidogo sana... u dig?
ReplyDeleteKwa kifupi, just let her be. Anajaribu kutoka. Sio kila kitu mpaka muongee wadau, eh
Bwahaahaaaaaaaa kweli dada unajua ku fake.
ReplyDeleteMagMyPic.com - Fake Magazine Covers with your Photo! Novelty
Cynthia dada kweli unapendeza lakini ukifikia hatua hii basi unajishushia hadhi yako.
Nakupa ushauri usifanye tena mambo haya.
Halafu kuna mtu aliuliza kuhusu kupigwa picha ulipokua mdogo hata mimi hapo inanitia utata.
Ni aibu mtoto wa kitanzania ambaye alikua na macho mazuri brown akavaa ya paka looooo mwenzetu huna lakufanya.
ReplyDeleteMichuzi yaani na wewe umepelekwa kijijini na umekubali wewe Cyncthia acha ushamba wako wewe...Hizo picha nani asiyejua kutengeneza peleka upuuzi wako sehemu nyingine sio hapa...Hizo picha kuna wesbisite mbali unaweza kufanya picha iwe hivyo au unauza sura....
ReplyDeletenyote apa mna wivu tena wa kijinga kweli,,,nyamafu
ReplyDeletehamna la kuongea???kazi kukalia oooo wee dada cjui nini alaaaa
kaka michu uwe unachuja izi comments basi
Mtu akipewa ukweli. Kaka michuzi uwe unachuja hizi comments.
ReplyDeleteMnapoteza nafasi za mambo mengi ambayo michuzi anhetumia kuweka na wengine tupunguze muda wa kusoma uchafu.
Fanya mambo ya maana ya kuendeleza jamii uweke humu sio picha za kucrop, paste and touch up.
Sasa watu wasingesema huko bongo si wangefikiri wow kweli this happen.
Straight talk my dear. No haters here.
Ushauri wa bure kwako dada Cynthia...nimesikiliza mahojiano yako. Ushauri ni kwamba next time ukiwa unajua unakuwa interviewed basi jiandee. Sasa kama unaulizwa swali unashindwa kujibu, umeact movie gani hukumbuki jina, videos ulizokuwepo nyingine hukumbuki. Nafuu uweke list ya kila kitu kama possible questions kuhusu kazi yako kurahisisha mahojiano.
ReplyDeletePoint nyingine ni kwamba hii interview inaonekana ni ya mwaka 2007 Michuzi, maana Deus anaulizia kuhusu kalenda iliyotoka 2007 na ujio wa Kikwete last yr, sasa Michuzi huna kitu current?? Halafu Deus eti ulikuwa unashauri Kikwete atumiwe hiyo kalenda? Kweli watanzania we have ways to go. The interview kwa kweli kuna a lot of questions....ila hiyo ndio feedback niliyoona niitoe kwa sasa.
Wewe dada weeee. Shukuru Mungu huku ni kwa Michuzi subiri wakuweke kwenye Utamu ndio utajua ukweli.
ReplyDeleteWacha hizo.
Mbona kalenda huku easy ketengeneza? Hiyo Kalenda kwa vile kaweka kila kitu uani basi watu wampe Kikwete?????? Please
Yaani, you guys, kweli asanteni, sio wabongo peke yao wasio jua kuhusu kutengeneza picha kama hivi... mimi i live in the UK for 10 years now, i had no idea that one could do this, i saw this and i thought WOW kumbe bure, it is truly sad... Mdau
ReplyDeleteAno September 12, 2008 12:40 PM
ReplyDeleteBox linakupeka resi pole wee