Home
Unlabelled
swaumu?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
huyu jamaa mwingine nilidhani ni PM Pinda
ReplyDeletemichuzi
ReplyDeleteHapa wadau wako wangesemaje?
http://swahilitime.blogspot.com/2008/09/choo-cha-kizungu.html
hayo magorofa yote yanaojengwa kwa haraka haraka kisa tamaa ya pesa by 2020 mengi yatakuwa yameshadondoka.
ReplyDeleteJK asipotoa tamko kuhusu haya magorofa ya waasia na hatua madhubuti kuchukuliwa tutaisha manake wenyewe wamezoea kwao india kujenga magorofa feki. Kuna lile la Morgorogo Road nalo limeshaelemewa hata halijaisha!!hebu fikiria kaka mithupu hali hii
ReplyDeleteMh..endeleeni kushangaa halafu liwabonde kiwe kimuhemuhe .....
ReplyDeleteYaani Bongo ndo Ingekuwa Japan na Yale Ma-Earthquake ya Ritcher Scale 7.0, 7.2, 7.7, 8.1 Sijui Kama Kuna Kitu Kingesimama Hapo..
ReplyDeleteKuanzia Kipindi Cha Nasaco.. Architecture anasema nunua Nondo au Chuma Engineer ananunua Maplastic Magumu, at the end of the day Moto Ukishika Plastic Zinachochea moto
..Wabongo mnakuja kasi, taratibu!
Buffalo,
New York
TO ALL NALITOLELAS
ReplyDeleteHata mimi ni Peter nalitolela nimemaliza mzumbe chuo kikuu last year tulikuwa na migomo ya kila mara lakini inshaalah tumemaliza. Hee michuzi kumbe kina Peter Nalitolela tupo wengi naona na mimi ninaishi Mbagala basi nimepata muda wa kuwasalimia kina Nalitolela wenzangu H.School nimemalizia St. Antony Mbagala najua watu wengi mtanikumbuka ingawa hatufahamiani lakini naomba wote nyie kina Nalitolela humu kwenye blogu tukutane inawezekana baba yetu ni muhuni kawachalaza mama zetu halafu katupa majina yanafanana mbaya zaidi katuweka katika mazingira ya kusoma Chuo kikuu kimoja Mzumbe sasa sijui ni uchawi ama ni nini? Mbona tunaanzakujuana leo na tumemalizia chuo kimoja? Mimi naona ni Uchawi...! halafu wote tulikuwa na akiri sana darasani!
Wewe nalitolela ndio nini kuweka post zako kila mahali. Kama unawatafuta ndugu zako kwanini usimtumie Kaka michuzi akakuweke huko? Kweli kuwa na akili Darasani ndio utupostie kila kwenye topic post yako...I doubt
ReplyDeleteMagorofa bila saruju.
ReplyDeleteWahindi wabahili sana wanabania hata saruji.
Haya magorofa hao engeneer wamesoma wapi????????????
Hi,
ReplyDeletekaka tufuatilie hili jengo ili tujue kitu gani kinaendelea kwa sababu tayari watu wanaishi ndani so tunahofia maisha ya watu wengi kupotea. halafu ni jambo la hatari repoter kaonyesha mzaha nadhani si jambo la mzaha hili. Kaka michu nakuachia mpira tafadhali.
mdau
ETM
Naingana na Mdau hapo juu, Kuhusu mdhaha wa huyu reporter, kwakweli ni jambo la aibu na kushangaza kwa mdhaha wa huyu reporter kusema "Swaumu" wakati ni jambo la kutisha na la hatari kama hili!
ReplyDeletethe nalitolela person angalau kanipa nguvu to get back to my work na kunitolea uvivu baada ya kunichekesha hivi lol
ReplyDeleteMukiwa Mlimani or UCLAS, DIT munasoma mukikamatwa munasema or nimeonewa , mwalimu alitaka chajuu or chachini ndio maana kanishika!!
ReplyDeleteMunatumia mabomu kufaulu mitihani. Munatumia pesa kuwa registered contractors.
So munashangaa nini?
Just unapata kulingana na ulichopanda.
G7
UK
we G7 ni mhaya?
ReplyDeleteWadau hiyo ndio leaning tower of Dar... Pisa has got nothing on us.. LOL
G7 sio Mhaya, ni Mswahili safi wa pembezoni mwa bahari (swahili).
ReplyDeleteKama unaproblem na jinsi ninavyotumia MU.... go back to your swahili class. Kifupi that is standard swahili ingawa hutamkwa as if hakuna 'U'.
Thanks,
G7
Mh Kweli ndio naiskia leo well hakuna wewe inaelekea umejifunza swahili ukubwani kama wale wazungu wanaokuja bongo ila unajitaidi
ReplyDelete