Home
Unlabelled
chiligati atembelea radio dw ujerumani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haisey ! yaani Bwana N'zee Abubakar
ReplyDeleteLiongo Umpendeza na suti na kofia ya baraghashia!! umetoka mchicha!
Sema Mheshimiwa Chiligati alistuka kidogo !alidhani yuko bega na Mrema! si lakini Mrema anavaaga suti na viatu vya raba ya kunchupa!!!
Hongera sana bwana Liongo vazi lako zuri kweli
Eh!bwana kaka Liongo !yaani sio utani kaatika wote hapo wewe umependeza sana! sasa mimi ningekushauri kuwa hiyo hiwe ndiyo
ReplyDeleteLiongo sutiz!!!!!!!! au ? kama utakuwa unatoka nayo ktk kila mahafari basi utakuwa unapeperusha bendera yako yaani Liongo sutiZZZ!!!na baraghashia.
Niliyasikia majibu ya Chiligati akihojiwa na sauti ya ujerumani nyakati za asubuhi hivi karibuni.Kweli bado tuna safari ndefu sanaaaaa katika siasa nchini Tanzania!Siku nyingine namshauri Chiligati atafute ushauri kwanza hata ikibidi nje ya CCM kuhusu yale atakayo yatamka katika vyombo vya habari kama sauti ya ujerumani inayosikika dunia nzima ili atathmini athari zake kuhusu 'his own personal reputation and integrity'kwa akiba yake ya mbeleni.Leo yuko CCM kesho atajikuta Mwenyekiti wa Mtaa,huwezi jua!Watu wasomi walioko nje ukiwaambia kwamba mwizi wa fedha zetu tunamjua lakini tumempa muda kwanza azirejeshe ndipo tumfikishe mahakamani watu watashindwa kukuelewa Mze!Porojo kama hizo waeleze mazumbukuku wa huku Bongo lakini Majuu watabaki wanakustahi tu,kwasababu siyo sahihi!
ReplyDelete