
kwa mujibu wa makubaliano hayo, easy finance, ambayo pia ni mmoja wa wafadhili wakuu wa globu hii ya jamii, sasa itakuwa msimamizi wa mashindano ya miss tourism kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia januari 2009.
pia itasimamia na kuendesha, kupitia taasisi ingine ya nyumbani, mashindano ya miss tourism ya bongo. hal kadhalika itaandaa fainali za dunia za mashindano hapa bongo mwakani ambapo zaidi ya nchi 70 zitashiriki.
hii ina maana kwamba taasisi iliyokuwa ikiongozwa na gideon chipungahelo kwa miaka sita iliyopita haitohusika tena na uandaaji wa miss tourism hapa nyumbani.
habari zinasema taasisi mpya itayochukua nafasi ya ile ya chipungahelo imeshaanzishwa na easy finance na mambo yakienda mswano miss tanzania 1994 wa pili lucy ngongoseke kihwele ndiye atakayekuwa anaiongoza.
Mmh, hayo mambo? hela hizo ni sadaka? Gonzaga mbona umebadilika hivyo? na wewe ni milionea?
ReplyDeletehee ni lazima atoe sadaka haiumi alizikomba pale atandad chatad mwiziiiii....!!!!!
ReplyDeleteKuna kitu mimi kama mwanadamu nachukia sana tena sana wivu,ubinafsi na chuki.hivi kama watu walikwapua lakini wao wanafaidika na jamii inafaidika wewe inakukera nini kwasababu kuna watu wengine zinaishia mifukoni na matumboni mwao hiyo tumeona mifano mingi sana mimi binafsi sioni kosa walilofanya hao jamaa kwanza sijui ukweli wake maana ukweli wanaujua wenyewe kwahiyo kumwita mtu mwizi wakati unauwakika nikosa kubwa sana halafu hela imerudi nyumbani mlitaishie kwa wakoloni tu mbona watanzania mnakuwa hamtaki maendeleo hiyo kampuni it will never fall kwasababu hao makaka zetu wamesogeza kitu kidogo.nawatakia mafanikio mema na maendeleo mema.wacheni majungu wandugu tafuteni maendeleo mbona upatikanaji wa hela upo mwingi tu
ReplyDeleteBIG UP tunashukuru sana kwa kudhamini blog yetu ya jamii