






Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mdogo wangu Fareed hongera ndio ukubwa huu.Mliambiana nini naona wote mnanyanyua majiko kwa pamoja.
ReplyDeletePius
Familia ya Kiondo inawatakia heri na baraka katika maisha yenu mapya ambayo mnataka kuyaanza. Mungu awabariki.
ReplyDeletekhamsini watz up brother utarudi lini texas ?
ReplyDeleteKaka Farid,
ReplyDeleteHongera sana winglow! Nasikitika sana kumiss shughuli hii.Mmependeza sana kaka, karibu kwenye club ya wanandoa.
Mimiiii...bado nipo nipo..!
Upinde wa Buga
sasa huyo bosi wa barclays anapewa keki ya nini?? ama sababu ni mzungu.........watanzania tutabadilika lini??
ReplyDeletePia wadau ebi nisaidieni maana ya kuwa na keki kwenye send off ni nini??
Personally mimi nadhani the whole meaning of a send of party is being mislead as the days goes by?? ningependa kujuwa.
Farid hongera sanaaa nimefurai kukuona tangu,Tuachane Shabanrobert
ReplyDeleteNakutakia maisha mema wewe na mkeo
NA MIE NDO NASHANGAA HUYO BOSS ANAPEWA KEKI KWA MTAJI GANI. MAANA MA-BOSS WEUSI SIJAONA WALA KUSIKIA WAKIKABIDHIWA WALAU KIPANDE CHA KEKI.
ReplyDeletekHA!!!!!!!! mZUNGU KANIKERA. nO BEEF. nI HAYO TU.mMEPENDEZA.
ReplyDelete