msanii john legend akiwa na mama mwadawa ruziga hivi karibuni alipotembelea bongo katika harakati zake za kusaidia vita dhidi ya umaskini. soma stori ya ziara yake kama ilivyoripotiwa na CNN kwa kubofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Yaani hii ni babu kubwa kwa watu maarufu kama huyu kuja bongo kuangalia jinsi binadamu wengine wanavyoishi...maana wana uwezo wa kusadia...Wabongo tuitangaze nchi yetu....

    ReplyDelete
  2. Niliona jana kwenye CNN na pia nilifurahi kuona huyu kijana alipofurahishwa kuona watu wanajitahidi kutafuta hela yao badala ya kusubiri kusaidiwa tu


    Mwonyesheni Baba yetu hii ajue kuwa watu wa huku wamechoka kuombwa. Watakusaidia mara wakiona kuwa unajisaidia mwenyewe

    ReplyDelete
  3. Hata mimi nimefurahishwa sana na huyu John Legend,amekwenda kuangalia jinsi watu wanavyoishi na ameona baadhi Watanzania wanavyoishi kwa tabu lakini wanajituma ili kuondokana na tabu hizo,kwa kweli imempa moyo sana John Legend na ameamua kutoa msaada mkubwa kwa watu wa huko Mbola.Hii ni safi sana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...