Home
Unlabelled
mama kikwete ziarani china
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Shule za wenzetu nzuri, nakumbuka kikatuni wakati wa raisi mkapa, yupo na mandela na clinton, mandela na clinton wanafikiria jinsi ya kuweka kompyuta na mitandao kwenye shule za msingi, mkapa akawa anafikiria jinsi ya kuweka madawati!
ReplyDeleteSerikali inabidi ijitahidi, ama sivyo mafisadi wakiendelea tutaendelea kuwasomesha watoto chini ya miembe.
FISADI MMOJA WA EPA = MADAWATI YA ZAIDI YA WATOTO LAKI MOJA!
mhh.
ReplyDeleteHapo china shule ya chekechea na Kompyuta.
Tanzania , chuo kikuu cha Dar kwa wastani kompyuta moja wanafunzi 40 wanaisubiri.
Halafu mnasema Tanzania tumeendelea. Subutu.
Huyo mke wa kikwete au mama yake? mbona unaandika mama kikwete? hiyo nilaana katika islamu kumuita mke mama.
ReplyDeleteHalafu mnawalaani wa TZ waliosaini mikataba ya madini, kweli mtu kasomea chekechea kwa compyuta utamlinganisha na yeboyebo pr school ya Bongo? Si ndio maana wakipewa mikataba feki wanasaini tu yees yees then RICHMOND!!BUZWAGI!!GEITA and the list goes on!!
ReplyDelete