Home
Unlabelled
mdau wa geita ameremetazzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Amependeza.Hingera sana binti.Ukumba wa Roman Catholich hapo au Lake view Hotel?.Remember Geita,hakuna kumbi za kutosha kila tafrija ni Ukumbi wa Roman catholic!!.Anyway,nimetoka siku nyingi kidogo.
ReplyDeleteNi yupi kati ya hao wawili?
ReplyDeleteAliye kushoto au kulia tunapoitazama picha?
Wote wamependeza.
wewe mtowa maoni wa pili kiswahili lugha yako au vipi? au ulisomea chini ya migomba? maelezo yanasema wazi.
ReplyDeletedada picha zako mtumie zeze kule ndo tutazichambua na utuambie rangi ya k-party, tuone na cake ...kule ndo mambo haya yapatikana kwa saana www.8020fashions.blogspot.com
ReplyDeleteNafikiri ni huyo aliyebeba kikapo cha maua kichwani ndiye bibi harusi, kapendeza!
ReplyDeleteMtoa maoni wa pili uko sahihi kabisa.Jane C Tunayemfahamu ni aliye upande wa kulia.Naomba ututake radhi.Poleni sana nasikia MC mliyemtoa DAR amemliza bi harusi mtarajiwa baada ya kutokomea na kapu lote la fedha za zawadi DU Kweli bongo darsalama.Pole Jane hawakutakii mema hao hayo ni majaribu tu vamilia
ReplyDeletehivi nani kaweka sheria ya bi harusi mtarajiwa kuvaa sare na mpambe? ona sasa tunavyopata tabu licha ya maelezo.
ReplyDeleteOngera sana Jane.
ReplyDeleteMi ni Neema tulikuwa shule moja Uganda mwaka 2000. Nipo Dar siku hizi.
Nakutakia mafanikio mema.
Jamani huyu Jane ni mtoto wa Selestin au namfananisha?kapendeza sana sio siri!
ReplyDeleteJAmani nyie mnaomfahamu Jane niyupo kati ya hao maana nao wamevaa sare hata hatuelewi biharusi ni yupi kati yao , jane nihuyo mwenyepua kama msomari au nihuyu mfupi waupande wakushoto tunapoitazama picha ? Alafu jane peleka picha kule kwa zeze dada tukakutizame uzuri huku madesa mengi.Usisahau kutuwekea na za Sendoff pamoja na zaharusi ee. Jane pls usisahau bana lol.UMEPENDEZA
ReplyDeleteJane hongera sana, Kabaki Getr nawengine wambie wakaze busio sio kujifanya bado wapo wapo.
ReplyDelete