Katika pitapita zangu rafiki yangu aliye Moshi alinitumia hii pichaangalau nikumbuke nyumbani. Sasa nilikuwa naomba kama unaweza ku-post katika blog ya jamii. Inaitwa 'Moshi byNight'.
Asante
David aka 'mtoto'
---------------------------------------------------
hakika mdau hii taswira moto chini. sina la kusema zaidi ya hongera kwa taswira mwanana ambayo uzuri wake umegusa wengi sana ikiwa ni pamoja na mimi. unakaribishwa mdau kutoa maoni ama darasa kule libenekelatawira.blogspot.com
ambako hiki kitu kipo pia
me likes it very much!
ReplyDeletepicha imetulia sana!
Kaka Michuzi, hiyo taswira aliyotuletea ndugu yetu "Mtoto" kwa kweli imenivutia sana na nadiriki kusema pamoja na uwezo mdogo nilionao kwenye mambo ya taswira hiyo picha imepigwa kiufundi sana na nadhani ni mojawapo kati ya "very rare" Mt Kili by night!! Hongera sana Mdau uliyeipiga taswira hii!!
ReplyDeletePicha kali!
ReplyDeleteHiyo inaweza kuwa taswira ya mwaka. Nakushauri michuzi utafute sponsor wa SHINDANO LA TASWIRA YA MWAKA katika kuendeleza libeneke la taswira!!!
ReplyDeleteMdau uliyepiga picha hiyo, hongera sana. You have very good art!!
ahh...kudadeki...Michuzi hata hukunisaidia kusahihisha title...'Mochi'...tehehehe...Samahanini wadau.
ReplyDeletesasa naona ma-Mangi mmevamia blog ya jamii kwa fujo. hhaha
ReplyDeleteBut man this photo is more than fantastic, it is Mirindastic
ADOBE HIYO KAMA HUAMINI NENDA HAPA KAMA HAUTAIKUTA HII PICHAhttp://images.google.com/imgres?imgurl=http://www.hory.applet.cz/kili/10_moshi_tanzania_b.jpg&imgrefurl=http://www.hory.applet.cz/kili/moshi_e.html&h=384&w=576&sz=35&hl=sw&start=3&um=1&usg=__zcDF6pJjdHvryBWlmiHFaQagOw0=&tbnid=DzOAG9xfUrMAxM:&tbnh=89&tbnw=134&prev=/images%3Fq%3DMOSHI%26um%3D1%26hl%3Dsw%26sa%3DN
ReplyDeleteOR GOOGLE THEN TYPE MOSHI THEN PICHA
ReplyDeletemambo ya photoshop! beware of tech
ReplyDeletenice picture
ReplyDeleteMochi ni nani neno Moshi litamkwavyo kichaga hajakosea
Kwa kweli picha ni murua hasa!!! Imenikumbusha nyumbani jamani! Bahati nzuri Christmas haiko mbali nitakwenda tu kuhiji na Wachagga wenzangu...
ReplyDeleteMdau wa Oct. 9 12:37 wala usiwe na wasiwasi. Ndivyo huo mji unavyojulikana kwa kichagga.. MOCHI.
Mzee wa Taswiraz, hiyo picha kwa mtazamo wangu haiko halisi ni mambo ya blending za adobe na ma effects yake. kazi nzuri ya msanii ila ni feki
ReplyDeleteKwa kichagga cha vunjo, Moshi hutamkwa Mochi. Kwa hiyo hujakosea.
ReplyDeleteMangi
kumbe we unaejiita mtoto ni mshamba tu wa moshi hasara kubwa
ReplyDeleteWow! Hii picha ni nzuri sana.
ReplyDeleteyaani ya usiku na ilivyoonyesha mlima huo ni kama wakati ulllllleeee magari yakua yanatoka dar saa kumi na mbili jioni halafu yanaingia moshi saa 11 asubuhi na kile kibaridi.....
Imenikumbusha home sweet home sana Uwwiiiiiiiiiiiii
Yeah, Mpiga box sio shabiki sana wa mambo ya taswira lakini hii imenikuna kidogo. Kusema kweli mpiga picha amejitahidi sana hasa kuupata vema mlima kilimanjaro nyakati za usiku. Kwa ufupi bw mdogo "Mtoto" nakupa big up sana.
ReplyDeleteMpiga box
Umenikumbusha mbali sana mdau. Kinachoniuma ni muonekano wa mlima K'njaro kwa wakati huu kwani ukilinganisha na kama muongo mmoja uliopita utajionea jinsi theluji inavyopungua 'mdogomdogo.' Student, what the global warming is?
ReplyDeletenice picture. je aliyepiga hii picha alikuwa jengo gani, floor ya ngapi kwani nami nategemea kufika moshi mwezi decemba niende kujaribisha kama nitapata snap kama hii.
ReplyDeleteAsanteni wadau waliotoa comments.
ReplyDeleteKwa wanaodhani hii ni adobe...kila la kheri katika kucheza nayo na kutengeneza picha kama hii.
Kwa huyo aliyetaja google...mimi bado sijaiona.
Mimi kama nilivyosema...huyo rafiki yangu ni mtaalamu wa haya mambo kiasi. Mimi binafsi ni kwa mbali sana. Hapa nadhani ni katoa flash alafu ka-set shutter speed iwe taratibu kusudi picha ikusanye mwanga halisi. Flash sio nzuri sana kama unataka kutoa picha safi ya mandhari. Kama unataka passport size by all means...tumia flash.
Hapa nadhani imepigwa wakiwa Kindoroko Hotel. Pale pembeni mwa Temba Watch mitaa ya double road.
Kaka michuzi asante sana kwa comments. Nimezifikisha kwa mwenyewe nasubiri anijibu.
P.S: anon wa October 09, 2008 6:04 PM...umenivunja mbafu.
mtoto
hata siku moja huwezi ukapata picha iko clear foreground na background, na hapo kati ya picha sharpness haipo. katika soma yangu ya mambo ya picha sidhani kama unaweza kupata kitu kama hicho.lens inayoweza kufanya kazi hii haipo.hii ni photo-doctorine.mheshimiwa uliyeleta picha aksante kuleta mjadala huo na hii inaonyesha wabongo wengi mambo ya picha nada
ReplyDelete