
EID Mubarak!
Pamoja na yote kwanza ninakupa pole kwa mshituko wa kupotelewa kwa jaaaaaaaamu fulaanaaz ya jamii ambayo Mungu mkubwa imipatikana.
Na hii imekuwa salama maana kama nilivyokuahidi kwamba nitaanza msako mkali huku Botswana na nilipokuwa katika mji unaitwa Francistown kuna mtu akanitonya kwamba aliona mtu kavaa fulanaaz kama ile ya blogu ya jamii katika kijiji cha karibu na Francistown kinaitwa SHASHE.
Sikufanya ajizji mwanamume nikajitoma haya ndiyo niliyoyakuta kwenye hilo hekalu la aliyesadkiwa kuwa mwivi wetu…
Mdau dRU
Pamoja na yote kwanza ninakupa pole kwa mshituko wa kupotelewa kwa jaaaaaaaamu fulaanaaz ya jamii ambayo Mungu mkubwa imipatikana.
Na hii imekuwa salama maana kama nilivyokuahidi kwamba nitaanza msako mkali huku Botswana na nilipokuwa katika mji unaitwa Francistown kuna mtu akanitonya kwamba aliona mtu kavaa fulanaaz kama ile ya blogu ya jamii katika kijiji cha karibu na Francistown kinaitwa SHASHE.
Sikufanya ajizji mwanamume nikajitoma haya ndiyo niliyoyakuta kwenye hilo hekalu la aliyesadkiwa kuwa mwivi wetu…
Mdau dRU
taratibu dRU, nawajua hao watswana, hawana mzaha.
ReplyDeletedoha.